hizi ndio sababu zinazofanya hiphop isiuze bongo


umesema wanatoa versiom 2 umeona walivyokua na akili hao wenzenu ila nyinyi mnatoa 1 ya matus
 
non sense ungekuwa unajua historia ya hip hop usingeongea hivi!!

hiphop kibongo ni uhuni uchafu lugha mbovu na utovu wa nidhamu utafikiri m2 mzima atanunua albam yako kweli
 
umesema wanatoa versiom 2 umeona walivyokua na akili hao wenzenu ila nyinyi mnatoa 1 ya matus

Inaonekana wewe husikilizi hiphop na sio mpenzi wa hiphop. Na kama unasikiliza utakuwa hufuatilii lyrics vizuri. Nakupa task tuu kadownload nyimbo yoyote ya lil wayne, Eminem, Birdman, Nick minaj, kanye west n.k radio version kama utakosa tusi.

Kukusaidia nakupa baadhi ya nyimbo na zilihit na ni nzuri pia, tafuta lyrics usome uone maneno yanayoongelewa hapa then urudi.

Lil wayne ft Rick ross - John.
Rick ross ft wale & Drake - Diced pinnaple.
Nicki minaj - stupid hoe.
Jay Z ft kanye - OTIS.
 
ni uhuni wa kutukana kwenye nyimbo kuvaa nguo chini ya makalio na uchafu kwa ujumla

kaka jiheshimu basi usitake kupoteza maana na utamaduni wa hip hop kwa uelewa wako mfupi nivigumu kielewa hip hop wakati huijui hujui madhumu na uwasilishaji wake....... comment zako zinaonesha ulvo na ubongo mgando
 
hiphop is legacy that lives,tatizo sio matusi,ishu ni kua kwa tz,mkono mmoja ukibana pua na mkono mwingine ukishika mic na kuimbia mademu ndo utapendwa,hiphop ni utamaduni,si nyimbo zote za hiphop ni matusi,sikilizeni mistari ya nyimbo za hiphop mpanue ubongo.
 
Wasanii wanauza sura si tunauza maneno"kurap mbona wanarap tu hata waimba mayenu"hip hop iko na sisi appoh acha ukhanithi"chukua time kidole juu ww!
 

wee acha ushamba angalia tuzo za bet mton then ndo umlaumu joh makin kwa kupiga mlegezo .sipotez mda wangu ktk nyuz ya kishamba kma hii coz muanzishaj ni boya na hajui hiphop ni kitu gan but anakurupuka tu akijua nyuz itapata post kibao !!!!fanya yko achana na hiphop coz utakalia mua mda c mrefu il ujue hiphop ni nn .....lione !!!!!!
 
Mtoa Thread ni ch*ko,ch*ko na Hiphop wapi na wapi?We endelea kubana pua
 
Kuigaiga mambo wasiyoyaelewa pia..mfano unakuta msanii wetu kavaa koti la baridi wakati wa jua..ukimuuliza eti hiphop...kiufupi bongo hakuna hip hop.
me hoi wanavaa miwani ya jua usiku..
 
utakuw humjui matonya na shetta
 
Kweli hamnazo unafikiri kuwa mama yake ndo lazima afuatilie hip hop kwahyo unataka kusema mtoto akivaa gwanda na mama Mzazi atajitahd kupenda gwanda ili amfurahishe mwanae
 
Km unaona hiphop hailipi wee komaa na wabana pua
Ova
 
Kikosi waliishia wapi na beef zao na bongo flava
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…