we utopolo una matatizo/..hebu malizia kahawa hapo kijiweni kwako..mi nakupa reference ya source kubwa kama cnn we unaleta ujuaji..wabongo banaSawa Bwana Mkubwa hebu niambie kati ya hao 35,000, aliowaajiri kwenye Kilimo pekee kwa mikataba ni wangapi na vibarua ni wangapi?
Nipe majibu ili nikupunguzie hiyo mipasho yako mana nilikuwa nakuvuta uje huku!
bro umemaliza naomba hii thread tuishie hapaWatanzania tuna desturi za ajabu sana kazi ni kulalamika na lawama kwa watu wenye utajiri so unayesema mo hana utajiri wewe una data na takwimu zote za biashara yake au ni stress za maisha na ajira unaleta humu, embu jaribu kuangalia sekta zote katika uchumi wetu the guy ame cover almost every sector either ni kilimo, nishati, usafirishaji, michezo, mpaka insurance sector alafu anakuja mwananchi mmoja wa kawaida member wa jf anasema mo anajipa publicity!!! tubadilike jaman kumchukia mtu aikusaidii just appreciate and move on!!!!!!!!😉😉😉
Nilijuwa tu kuwa hutafika mbali, siku zote mwenye hoja hawezi kuongea na Mipasho ya Kike kama hiyo..,we utopolo una matatizo/..hebu malizia kahawa hapo kijiweni kwako..mi nakupa reference ya source kubwa kama cnn we unaleta ujuaji..wabongo bana
sehem gani nmesema anaajili watu 35,000 kwe kilimo..utakua una mimba changa unataka zaa..haya bishana na hizo figures basi .Sawa Bwana Mkubwa hebu niambie kati ya hao 35,000, aliowaajiri kwenye Kilimo pekee kwa mikataba ni wangapi na vibarua ni wangapi?
Nipe majibu ili nikupunguzie hiyo mipasho yako mana nilikuwa nakuvuta uje huku!
Pale msimbazi sports ♣ natania tu mkuu, japo jamaa mfadhili wetu hawezi gusa level za maalimu bakheresaMkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!
Sawa Mkuusehem gani nmesema anaajili watu 35,000 kwe kilimo..utakua una mimba changa unataka zaa..haya bishana na hizo figures basi .
Some figures on the MeTL Group
– Active in 12 African countries, particularly in the eastern and southern regions of the continent.
– From $ 30 million in 1999, the group has seen its turnover climb during the last 20 years. It is estimated at 1.5 billion dollars currently, which represents more than 3,5% of Tanzanian Gross Domestic Product (GDP).
– He is considered the second largest Tanzanian employer after the state. More than 35,000 people work for this company today.
– This conglomerate is present in various sectors such as agriculture, oil, light manufacturing, real estate and even insurance, to name but a few.
Mkuu siku zote Mjenga hoja huwa anakuja na lugha ya staha, huwezi kufanya Mjadala kwa lugha za kipashikuna namna hiyo..,sehem gani nmesema anaajili watu 35,000 kwe kilimo..utakua una mimba changa unataka zaa..haya bishana na hizo figures basi .
Some figures on the MeTL Group
– Active in 12 African countries, particularly in the eastern and southern regions of the continent.
– From $ 30 million in 1999, the group has seen its turnover climb during the last 20 years. It is estimated at 1.5 billion dollars currently, which represents more than 3,5% of Tanzanian Gross Domestic Product (GDP).
– He is considered the second largest Tanzanian employer after the state. More than 35,000 people work for this company today.
– This conglomerate is present in various sectors such as agriculture, oil, light manufacturing, real estate and even insurance, to name but a few.
Kwani Ummy mwalim ametoa ajira ngapi sekta ya kilimo au wewe umeajili wangapi hiyo sekta..usimpangie mtu uwekezaji wa pesa yakeSawa Mkuu
Mkuu siku zote Mjenga hoja huwa anakuja na lugha ya staha, huwezi kufanya Mjadala kwa lugha za kipashikuna namna hiyo..,
Isitoshe usiniletee hayo mavitu yako ya copy & paste!
Nmekuuliza kati hizo ajira 35,000, ajira alizozitoa kwenye Sekta ya Kilimo ni ngapi?
Badala ya kujibu unakuja na Mipasho!!!
Nilijuwa tu kuwa ww ni Muimba mapambio..,KW
Kwani Ummy mwalim ametoa ajira ngapi sekta ya kilimo au wewe umeajili wangapi hiyo sekta..usimpangie mtu uwekezaji wa pesa yake
kwako ajira ni nini?au hadi ukae ofisini na kulipwa mamilioni..ushafuatilia suala la cocoa na watengeneza chocolate huko west afrika....nkasema kama unajihisi unaweza anzisha kiwanda chako umlipe kila mtu mamilioni...wabongo bana...kwahiyo anawapikia taarifa hadi forbes sio.?umekunywa chai kweli wewe utakuja na kusema hata Tanzania tunapika taarifa ndo maana moody foundation imf na world bank wametuweka uchumi wa kati...hamna kitu nachukia duniani kama mijitu hasi..hapo ukute hata hichi kibarua hunaNilijuwa tu kuwa ww ni Muimba mapambio..,
Wale Vibarua wakulima, kupalilia, na kusuka nyuzi za Mkonge kule kwenye Mashamba yake ya Mkonge ndio unaita ajira?
Ni kweli Pesa anayo ila taarifa nyingi huwa anapika ili kufikia hizo target zake!
Ukweli mchungu ni AZAM haigusi kwa METL..Mkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!
Wewe kumuita Mo bloangu mwamedi haikuwa mipasho?Sawa Mkuu
Mkuu siku zote Mjenga hoja huwa anakuja na lugha ya staha, huwezi kufanya Mjadala kwa lugha za kipashikuna namna hiyo..,
Isitoshe usiniletee hayo mavitu yako ya copy & paste!
Nmekuuliza kati hizo ajira 35,000, ajira alizozitoa kwenye Sekta ya Kilimo ni ngapi?
Badala ya kujibu unakuja na Mipasho!!!
Mbona ata bhanji kama sijakosea ana benz ambazo hazina side mirror. Ina bidi waanze kuzoea mabadiriko watafte namna ya kupiga watu ela kivingneHahahaha traffic watakula wapi sasa? Maana wakikuta iko na mpasuko lazima wale kichwa
Bakhresa Ana viwanda Malawi, Rwanda, Burundi mpaka south Africa,Nina jamaa zangu hua wanatumwa huko na migari mikubwa yake,said salimu achana nae kabisa.Hapa inaweza kuwa kweli mwamedi anavuta mpunga mrefu maana kawekeza sehemu nyingi na kampuni tofauti ila mzee said Salim yeye ni one man show tu
Msanii Yule,wafanyakazi wake full njaa[emoji38][emoji38][emoji38]Alafu mo anadanganya watu kuwa anahela
Hata bwana mwamedi nae kawekeza nje ya Tanzania sana ila nilichokuwa namaanisha hapa mwamedi kawekeza kwenye kampuni tofauti mfano vodacomBakhresa Ana viwanda Malawi, Rwanda, Burundi mpaka south Africa,Nina jamaa zangu hua wanatumwa huko na migari mikubwa yake,said salimu achana nae kabisa.
Banji pia anazoHata Coca Cola wanazo naziona Sana
hio gar (horse) ya 1billion ipoje?Kasome Profile ya METL na AZAM Google...muna babika na gari mpya 20 ambazo tukizipendelea kila moja tukasema ina thamani ya 1B sawa na Billion 20 pesa haitoshi hata kiwanda kimoja.
Njoo nikupe kazi acha kukaa kwa shemeji ako.Umezidi Shobo kwenye vitu visivyokuongezea kipato
Mjadala wa kitotoHuu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!