kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Amehonga ili aandikwe vizuri na jaridaHalafu eti bloangu Mwamedi na zile Bajaji zake zilizofungwa Injini za Machine za kusaga ndio Bilionea wetu namba moja..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amehonga ili aandikwe vizuri na jaridaHalafu eti bloangu Mwamedi na zile Bajaji zake zilizofungwa Injini za Machine za kusaga ndio Bilionea wetu namba moja..!!!
Jiandae kulogwa wakati wa kugombea kaziNimetamani kua dereva ghafla
Hapana, kuendesha barabara ya njia 8 kimara hadi KilivyaMadereva kupata ajira kuendesha kwenye kwenye barabara hizi:
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Kipande hiki cha barabara yapata 90km katika barabara kuu iendayo Burundi, Rwanda na DRC kimepigiwa kelele kwa muda mrefu. Kwa sasa pana sehemu mbili Nyamalagala na Ngazi Saba njia haipitiki na hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Misururu ya magari ni mirefu na hakuna natumaini ya ufumbuzi wowote...www.jamiiforums.com
Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
Ubunge 😂😂Tuacheni ushabiki ndugu zangu so unataka kunambia mo ana fake utajiri wake? hv tajiri no 1 Tanzania unampima kwa njia gan, hv rostam azizi tuliambiwa kipindi fulani ndo tajiri no 1 bongo hv unaweza kunitajia vyanzo vyake vya mapato?!!!!
Ila kibiashara sio economy.. maana bei yake moja unapata mchina mbili ambayo kibiashara ni advantage
Mangi unazingua, umesahauHivi operational costs zipoje? Kama unaanua kununua mitambo kama hii kwa ajili ya usafiri ambao unaweza kutumia Howo ya mchina?
Operational costs ya Youtong au Howo ni kubwa zaidi, u ll notice this with timeHivi operational costs zipoje? Kama unaanua kununua mitambo kama hii kwa ajili ya usafiri ambao unaweza kutumia Howo ya mchina?
Hapana, kuendesha barabara ya njia 8 kimara hadi Kilivya
Hata viwanda vya ajira vinatosha kwa sasaKuendesha Kimara - Kiluvya. Ajira za madereva 20. Tunaita tumenufaika kiuchumi. Hali beberu katuuzia malori hayo 20.
Ndiyo maana mwendazake alitaka viwanda. Viwanda vya kutengeneza hayo malori. Ndiyo maana hakuwa na simile na Abood Morogoro.
Hii nchi kweri inaendelea kuchezewa sana na hatuna sababu ya kutembea vifua mbere!
Hiiiiii bagosha!
Hata viwanda vya ajira vinatosha kwa sasa
Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
Yaani wewe una taarifa zaidi za uwekezaji wa hao watu kuliko Forbes ?Azitaje kabisa kwa majina! Mimi naona Bakhresa amewekeza sana.
IST pia ina cameraHii ni latest na ni model gani mkuu
Yaah naelewa Scania ni imara ila mi naongelea kibiashara... Mfano kama una kampuni ya usafirishaji kuliko uwe na Scania Moja la bei ghali ni bora uwe na howo 2 ndo nnachomaanisha hichoMangi unazingua, umesahau
''Cheap becomes expensive''?
Yaani ununue mchina 2 au hata 3 badala ya scania 1 wakati una uwezo kweli?
Unajua kiburi alicho nacho Saibaba au Kilimanjaro Express for years ni kuwa na magari ya SCANIA, Uhakika wa safari katika milima na mabonde bila kukwama wala bus kucease, sio Youtong za kichina zenye muonekano mzuri lakini zinachemsha na service kila Mara
Scania & Mercedes Benz ni guaranteed. Tofautisha to bus la 200M mchina na scania za 800M.
Kwanza ajira za madereva wa maroli ni ngumu sana na hazina maslahi.Kuna wanaosema wanatamani kuwa madereva. Sio rahisi hivyo utoke ulipotoka ukakutane na gari mpya. Izo watapewa wakongwe wa kampuni. Then gari zao ndo zitatafutiwa madereva wapya... Alafu pia nina ona mambo ya ajira hapo azam yamekaa ki ukanda sana na udini..... Sio rahisi kupata kazi hapo.
Mipango tu ata we unaweza changamsha akili benk wanakupa waambie utawalipaje mchanganuoWatu wanayo pesaaa
Ya kupiga selfie.IST pia ina camera