Hizi ndio Scania zaidi ya 20 za kisasa walizonunua Kampuni ya Azam

Hizi ndio Scania zaidi ya 20 za kisasa walizonunua Kampuni ya Azam

Please be serious unataka kunambia mo alikurupuka kununua vile vigari bila kupewa ushauri wowote ule wa kitalamu?!! unakosea sana so ulitaka atumie scania xt model kama hizo za azam kusambaza product kutoka mtaa mmoja kwenda mwingine are you serious na mo hawezi kushindwa kununua scania kama hizo za azam coz unamuongelea mmoja kati ya matajiri wadogo barani africa alafu na hizo scania XT MODEL mbona matajiri wengi wanazo heven asas anazo kibao na hata matajiri wa kawaida tu wanazimiliki mfano manyanya oil wa mbeya though yeye ni XT MODEL P320 coz abebi mzigo mzito na safari zake ni fupi fupi like dar-mbeya so be polite and smart enough unapokuwa unamzungumzia mtu kama mo!!!!!!!
Acha unazi wa kibwege mpumbafu wewe, ile mibajaji na migari ile kwa mtu mwenye akili timamu ni ya kununua!? Gari ikipita unatafuta kivuli kwanza upumzike, maana inatibua ratiba zote za ubongo. Ushaziona gari wanazosambazia Watercom huku mtaani!? Huyo boss wenu anapenda sana vya dezo.
 
Acha unazi wa kibwege mpumbafu wewe, ile mibajaji na migari ile kwa mtu mwenye akili timamu ni ya kununua!? Gari ikipita unatafuta kivuli kwanza upumzike, maana inatibua ratiba zote za ubongo. Ushaziona gari wanazosambazia Watercom huku mtaani!? Huyo boss wenu anapenda sana vya dezo.
Mh! sikutarajia ungekuja na lugha chafu chief nazani hoja zingefaa zaid anyway mwambie anunue kama za water com!! halafu samahani nimesahau kukuuliza kwani wewe una utajiri wa shilingi ngap na ni nan washauri wako inaonekana wewe una washauri wazuri!!!🤣🤣🤣
 
Mh! sikutarajia ungekuja na lugha chafu chief nazani hoja zingefaa zaid anyway mwambie anunue kama za water com!! halafu samahani nimesahau kukuuliza kwani wewe una utajiri wa shilingi ngap na ni nan washauri wako inaonekana wewe una washauri wazuri!!!🤣🤣🤣
Ishu sio lugha chafu ama utajiri wa kiasi gani, ndugu zangu watanzania huu upumbafu ambao tumekuwa tukiuishi kwa miaka mingi sasa ifikie mahali ukome ili kizazi chetu kijacho kiyaishi maendeleo ya kweli na kweli iwe ndio msingi wa maisha na sio uongo! Tumezoea kulaghaiwa na kuyaona hayo ndio maisha sahihi.
 
Alafu mo anadanganya watu kuwa anahela
Tuacheni ushabiki ndugu zangu so unataka kunambia mo ana fake utajiri wake? hv tajiri no 1 Tanzania unampima kwa njia gan, hv rostam azizi tuliambiwa kipindi fulani ndo tajiri no 1 bongo hv unaweza kunitajia vyanzo vyake vya mapato?!!!!
 
Back
Top Bottom