halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Ni side mirror siyo site mirrorNilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni side mirror siyo site mirrorNilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Insurance, mawasiliano mtu wa kati logistics na sehemu nyingineMkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!
Hivi operational costs zipoje? Kama unaamua kununua mitambo kama hii kwa ajili ya usafiri ambao unaweza kutumia Howo ya mchina?Nimeona Asas tu ndo kafanya jeuri hyo bongo ana Actross hazina side mirrors halafu hata tano hazifiki
Usahihi: Ni "Side mirrors" boss.Nilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Nina Kiongozi wa karibu yuko nyuma ya central ile ofisi Custom issues, aliwahi nambia mo is too big more than tax payer, in fact yeye mo ndo trending dealHuu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!
Kilimo ndo nambee oneInsurance, mawasiliano mtu wa kati logistics na sehemu nyingine
Mo ni bingwa wa retail na pesa za harakaharaka. Products zake nyingi hazikai muda mrefu sokoni.Huu Mjadala huwa ni Mzito sana, ila kiukweli bloangu Mwamedi ni Msanii tu wa kucheza na Media ila hagusi kwa Mzee!
Camera ni site mirror piaHahahaha traffic watakula wapi sasa? Maana wakikuta iko na mpasuko lazima wale kichwa
Kweli ila gharama za uendeshaji na uhifadhi ni gharama huku kwingine gharama ya uendeshaji ni nafuu kidogo japo mo yeye ndio anaongoza kwenye kilimo ukilinganisha na washindani wakeKilimo ndo nambee one
Kasome Profile ya METL na AZAM Google...muna babika na gari mpya 20 ambazo tukizipendelea kila moja tukasema ina thamani ya 1B sawa na Billion 20 pesa haitoshi hata kiwanda kimoja.Mkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!
Mkuu Scania kama hizo moja ni shilingi ngapi kabla ya ushuru. Na ushuru wake ni shilingi ngapi?Mo ni bingwa wa retail na pesa za harakaharaka. Products zake nyingi hazikai muda mrefu sokoni.
Na bidhaa nyingine huwa anakopi zozote zinazofanya vizuri ikiwemo za Azam.
Ila Azam huwa hawakurupuki, wakija na kitu kipya kinakuwepo sana.
Shukrani mkuu.ni side mirror siyo site mirror
Bei yake moja sh. ngapi?Hata mimi nimeota nitakuwa nazo. Bado kitambo kidogo
Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
Azitaje kabisa kwa majina! Mimi naona Bakhresa amewekeza sana.Mkuu hizo sehemu alizowekeza Mwamedi ni zipi ambazo zinampa Mpunga kuliko Mzee Bakharesa!
Hii ina akisi hali ya matumaini katika sekta ya biashara nchini Tanzania kwa sasa
Me niliposikia nikataka kujilidhisha nikaenda ofisi za scania kupata uhakika, 😁kama ni kweli hazina side mirrors?Nilisikia hazina site mirrors, zinatumia cameras.
Hapana, zitapita kwenye barabara za njia 8 Kimara hadi KiluvyaHizi gari zitakwenda kupita kwenye barabara zetu hizi hizi na za huku kuliko sahauliwa kabisa?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Kipande hiki cha barabara yapata 90km katika barabara kuu iendayo Burundi, Rwanda na DRC kimepigiwa kelele kwa muda mrefu. Kwa sasa pana sehemu mbili Nyamalagala na Ngazi Saba njia haipitiki na hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Misururu ya magari ni mirefu na hakuna natumaini ya ufumbuzi wowote...www.jamiiforums.com