Hizi ndio starehe mbili kubwa duniani kote kwa mwanaume

mkuu pm ya nini wakati sio starehe?

au unataka kumkamua kinyesi?
Nataka nimuonyeshe starehe nyingine tofauti na hayo yaliyotajwaa hapo juu
Maana kupendwa na mtuu sahihi unasahau kama kuna dunia nyingine

Mkuu kuna shidaa
 
Hakikaaaaa

Ila hapo kwenye pombe tunaomba u bold kabisa....na irudie mara tatu pia usisahau shading
 
Ili upate demu mkala au pombe ya kiwango uwe na Pesa.

Pesa, Pesa. ,pesa.
Ushaambiwa "ukiwa na pesa" matatizo ya kujificha migombani wenzenu wanakula pindi class ndo haya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…