kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Nataka nimuonyeshe starehe nyingine tofauti na hayo yaliyotajwaa hapo juumkuu pm ya nini wakati sio starehe?
au unataka kumkamua kinyesi?
Nilitegemea hii ndo angeiweka ya kwanza.Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Jamaa kafeliNilitegemea hii ndo angeiweka ya kwanza.
Asante sanaUbarikiwe kwa kukubali kurekebishwa, utafika mbali sana
Daaah ,Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Daaah kweliiiStarehe kubwa afya njema na pesa mkuu
Kwani ww mwanaume?Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Ushaambiwa "ukiwa na pesa" matatizo ya kujificha migombani wenzenu wanakula pindi class ndo haya..Ili upate demu mkala au pombe ya kiwango uwe na Pesa.
Pesa, Pesa. ,pesa.
na kufafanuliwa kote huko bado hujaelewa stareheJamaa kafeli
Kila mtu ana definition yake. Niache na hii ya kwanguna kufafanuliwa kote huko bado hujaelewa starehe
NdioKwani ww mwanaume?
Mwanaume wa kweli unawekaje avatar kama hii?Unaongea Kama vile umeshawahi ishuhudia jinsia yangu. Mimi ni mwanaume
halafu raha zaid uvue nguo zote!!Hakuna starehe Kama kunya mkuu, hizo ulizotaja hapo ni matatizo matupu
Ukimaliza uogehalafu raha zaid uvue nguo zote!!
Demu wangu