BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
- around 3mNaomba kufahamu Accounts officer II anapata ngapi kwenye hizo taasisi?
Pia eGA anapata ngapi?
Wenye vyeo wanakunja hela parefuJamaaa wapo vizuri sana luteni mwenye bachelor anakunja mil.3 hapo cjakwambia major na kuendelea
Mnadanganyana.luteni hata 2m hajafika kwa taarifa yakoJamaaa wapo vizuri sana luteni mwenye bachelor anakunja mil.3 hapo cjakwambia major na kuendelea
Fanya research acha kuropoka jeshini kuanzia nyota moja wana salary ndefu sana alafu luteni wa jeshi awe hajafikisha 2m jamaa yupo sahihiMnadanganyana.luteni hata 2m hajafika kwa taarifa yako
Luten wa jeshi anachukua 1.8m.ukitaka salary slip nitafute nikuonyeshe kwa muda wako.acha kuniambia naropoka bila kuwa na ushahidi..huyo kapten mwenyewe tu hiyo 3m hajafikisha ndio sembuse luten.Fanya research acha kuropoka jeshini kuanzia nyota moja wana salary ndefu sana alafu luteni wa jeshi awe hajafikisha 2m jamaa yupo sahihi
Acha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajuaLuten wa jeshi anachukua 1.8m.ukitaka salary slip nitafute nikuonyeshe kwa muda wako.acha kuniambia naropoka bila kuwa na ushahidi..huyo kapten mwenyewe tu hiyo 3m hajafikisha ndio sembuse luten.
Luten wa jeshi anachukua 1.8m.ukitaka salary slip nitafute nikuonyeshe kwa muda wako.acha kuniambia naropoka bila kuwa na ushahidi..huyo kapten mwenyewe tu hiyo 3m hajafikisha ndio sembuse luten.
Acha UONGO jamaa anakwambia ukweliAcha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajua
Sasa kama captain anafikisha M3Hahahahah eti kapteni hajafikisha 3m acha kuchekesha ww
Haiwezekani maji kupanda kilima nyege duuu chenja za maana sanaSasa kama captain anafikisha M3
Meja ana milion ngap?
Luten kanal ana milion ngap?
Kanal ana milion ngap?
Brigedia ana milion ngap?
Meja general ana billion ngap ?
Luten general ana billion ngap?
Cdf billion ngap?
Nyie wote ndo hamjui lolote njo inbox nikupe evidenceAcha UONGO jamaa anakwambia ukweli
Ww ndio hujafuatilia vzuri chiefMnadanganyana.luteni hata 2m hajafika kwa taarifa yako
Viongozi wa tpdf..salary yao ipo vzuri chiefOya ndege tai ebu mwambie huyu jamaa tpdf kuhusu salary
Mkuu ushafika Dom..?Pakawaida sana. TGS D. Agro Officer NAOT, ila anadai posho za kutosha
Hivi hii mishahara huwa mnaitoa wapi nyie ndo mnafanya mtaani watu wanatuona tu ela kumbe hamna kituJamaaa wapo vizuri sana luteni mwenye bachelor anakunja mil.3 hapo cjakwambia major na kuendelea
Mkuu,mimi nimeamua tu kukaa kimya kuepuka kubishana na hawa vijana.eti 3m kwa luten,na wakati huo ndio mshahara wa major plus marupurupu yake yote.Hivi hii mishahara huwa mnaitoa wapi nyie ndo mnafanya mtaani watu wanatuona tu ela kumbe hamna kitu
Et luteni alipwe Mili 3 asee sasa major siatalipwa mil 6
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Wewe huenda unasimuliwa,mimi nimefanya ngome saccoss miaka kadhaa kabla ya kuondoka,na hao wajeda ndio walikua wateja wangu wakubwa so salary slip zao nilikua naziona.tatizo mtaani watu mnadanganyana sana.Acha ubishi mkuu nipo kwenye hio taasisi unajua