Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
TENESCO na TAA wanafanana kwa karibu...TAA wanaposho za mwezi kuanzia 600k -800k ila mashahara hawana maajabu senior analamaba 2.2 Mil.11. NGORONGORO
12. TANAPA(Pamoja na nduguze wanaodili na maliasili)
13. STAMICO je....?
14. TANESCO (wazee wa kutulaza gizani kama mende)
15. TAA je...?
16.
Hakuna taasisi ya serekali inayolipa hivi
Haya yalikuwa mapendekezo tu na yalikataliwa
Kuna taasisi posho ya Nyumba ni 850000/-, extraduty 950,000/-
Bado salary
Usimsikilize huyo jamaa hakuna taasisi hiyoWapi hapa tuhamie mkuu
Duh kumbe!Uhamiaji kumbe pa kikuda tu. Kutoka X wakili madereka ameandika mishahara mitatu ya mkewe ni 3.5m na kidogo akiwa na nyota tatu!
Ni kama 1.25 m Kwa mwezi. Kwa mwaka 2019....... Mwaka 2022 iliongezeka kama 50 tu!!!!
Shirika gani hilo mkuu?Duh kumbe!
Hapa mtaani kuwa dogo kapata kazi shirika Fulani la umma ameanza na 2.2m
Itakuwa watoza ushuru au tccmShirika gani hilo mkuu?
UhamiajiShirika gani hilo mkuu?
Yaani entry wa uhamiaji anaanza na 2.2M?.Uhamiaji
AiseeBinafsi nimesoma nikaishia tu kushangaa
Nadhani kuna namna tunaishi kwa kukaririshwa sana.
Mleta mada hajajua kuna taasisi zinalipa vizuri hizo alizozitaja hapo zinasubiri..
Mfano mdogo ni CMSA..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo bongo 🤣
Ama kweli duniani Kuna watu mna ishiMkuu
Mkuu mimi Niko sensitive sana na mshahara, kazi yangu ya kwanza nilikua nalipwa laki nane na nusu take home, huku nimepewa nyumba, gharama za umeme plus maji lakini nilifanya kazi mwaka mmoja tu nikaandika barua ya kuacha kazi nikaomba kazi mahali pengine
Mke wa madeleka alikuwa na nyota tatu (assistant superintendent of immigration) alikuwa analipwa 1,250,000/- sasa sielewi Vipi ni vipi.Yaani entry wa uhamiaji anaanza na 2.2M?.
Huu si mshahara wa 2 stars wa immigration tena mwenye bachelor.
Basic au take home mkuu??Mke wa madeleka alikuwa na nyota tatu (assistant superintendent of immigration) alikuwa analipwa 1,250,000/- sasa sielewi Vipi ni vipi.
BasicBasic au take home mkuu??
Usimsikilize huyo jamaa hakuna taasisi hiyo
Kwenye hizi taasisi za Elimu kukoje NACTVET, NECTA,TEA na TIE kukoje huko?Nilipo mimi ni taasisi ya udhibiti na posho ya nyumba na nauli ni 800k kila mwezi
Nasubiri kusikia kuhusu nectaKwenye hizi taasisi za Elimu kukoje NACTVET, NECTA,TEA na TIE kukoje huko?