Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

Hizi ndio timu 10 ambazo zimekuwa confirmed zitashiriki Super League Msimu 2023

Hebu toa hilo kimba
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
 
Babra amesimba Simba wamepata mwaliko lakini watakaa chini na kuangalia kama watashiriki au hawatashiriki.
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Unatia aibu utopolo Kwa kukurupuka

Ona umeutelekeza Uzi[emoji28][emoji28]
 
IMG_2493.jpg
 
Kiukweli hizi level ambazo Simba yupo kimataifa huwa zinaitesa sana yanga,tupambane tuwafikie
[emoji599]SUPER CUP 2023.

Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup [emoji471] mwakani.Yanga itaungana na timu za.

[emoji843]Al ahly (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Zamelek (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Mamelodi sundown (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Orlando pirates (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Wydad Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Raja Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Rs berkane (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Yanga sc (Tanzania)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Simba sc (Tanzania)[emoji1666]
[emoji843]Tp mazembe ( Dr Congo)[emoji2422][emoji471]

NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup [emoji471] [emoji1787]Sasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania [emoji1241].

[emoji599]Halafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua [emoji471][emoji2422][emoji2422]zao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy[emoji1787]
 
[emoji599]SUPER CUP 2023.

Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup [emoji471] mwakani.Yanga itaungana na timu za.

[emoji843]Al ahly (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Zamelek (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Mamelodi sundown (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Orlando pirates (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Wydad Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Raja Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Rs berkane (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Yanga sc (Tanzania)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Simba sc (Tanzania)[emoji1666]
[emoji843]Tp mazembe ( Dr Congo)[emoji2422][emoji471]

NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup [emoji471] [emoji1787]Sasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania [emoji1241].

[emoji599]Halafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua [emoji471][emoji2422][emoji2422]zao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy[emoji1787]
simama jipige kifuani sema mimi ni lofa, sina akili, mimi ni utopolo.
IMG_20220810_192605.jpg
 
SUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA

Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly

2 Zamalek

3 Pyramid

4 Al Masry

5 Wydad AC 6 Raja Athletic

7 RS Berkane

8 Esperance

9 Etoil Sportive Du Suhel

10 Orlando Pirates

11 Kaizer Chiefs

12 Mamelodi Sundowns

13 JS Kabyile

14 CR Belouzidad

15 E.S Setif

16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC

18 SC Enyimball

19 Petro de Luanda

20 Simba SC

21 Asante Kotoko

22 Al Hilal

23 Asec Mimosas

24 Coton Sport
Hapa utopolo wanataman mmoja akose vigezo kama nguvu ya kipesa ili yajichomeke ila wapiiiii zotd hapo naona zina kidari cha kutosha
 
Hii nyani haitokaa iusahau huu uzi,pigwa mno
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
 
adriz liked your comment with ahahahah😅😅😅

Pole Sana mtani Kwa kutokuwepo ktk list..pambana uwe mkubwa Kama Simba😅
 
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe

Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121


Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Mmekuwa wapiga rsmli maarufu siku hizi?
 
Back
Top Bottom