Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe
Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121
Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
Mleta mada alikuja na kiherehere ili kuwaoshea Simba ameishia kupata aibu Hadi Uzi ameutelekeza [emoji28][emoji28][emoji28]Mbona aibu hii jamaniii sasa hawa wamekuja na hyo habari kutoka wapi??
Unatia aibu utopolo Kwa kukurupukaHizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe
Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121
Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
yanga je, wamepata huo mwaliko?Babra amesimba Simba wamepata mwaliko lakini watakaa chini na kuangalia kama watashiriki au hawatashiriki.
Mtafuteni tu mtapata. Ana mwiko nyuma.Unatia aibu utopolo Kwa kukurupuka
Ona umeutelekeza Uzi[emoji28][emoji28]
Labda wa ubwabwayanga je, wamepata huo mwaliko?
[emoji599]SUPER CUP 2023.
Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup [emoji471] mwakani.Yanga itaungana na timu za.
[emoji843]Al ahly (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Zamelek (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Mamelodi sundown (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Orlando pirates (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Wydad Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Raja Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Rs berkane (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Yanga sc (Tanzania)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Simba sc (Tanzania)[emoji1666]
[emoji843]Tp mazembe ( Dr Congo)[emoji2422][emoji471]
NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup [emoji471] [emoji1787]Sasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania [emoji1241].
[emoji599]Halafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua [emoji471][emoji2422][emoji2422]zao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy[emoji1787]
simama jipige kifuani sema mimi ni lofa, sina akili, mimi ni utopolo.[emoji599]SUPER CUP 2023.
Timu ya Wananchi Yanga imepata nafasi ya kushiriki michuano ya Super cup [emoji471] mwakani.Yanga itaungana na timu za.
[emoji843]Al ahly (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Zamelek (Misri)[emoji966][emoji471]
[emoji843]Mamelodi sundown (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Orlando pirates (Afrika ya kusini)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Wydad Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Raja Casablanca (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Rs berkane (Morocco)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Yanga sc (Tanzania)[emoji2422][emoji471]
[emoji843]Simba sc (Tanzania)[emoji1666]
[emoji843]Tp mazembe ( Dr Congo)[emoji2422][emoji471]
NB:Kuna watu walikuwa wanasema Yanga hawezi kushiriki Super cup [emoji471] [emoji1787]Sasa mnajiskiaje baada ya kupata hii habari leo kuwa wababe wenu wa muda wote watakuwepo kupeperesha bendera ya Tanzania [emoji1241].
[emoji599]Halafu unaambiwa pesa ambayo Yanga watabeba baada ya kuchukua [emoji471][emoji2422][emoji2422]zao ni zaidi ya zile za mwekezaji Mudy[emoji1787]
Hapa utopolo wanataman mmoja akose vigezo kama nguvu ya kipesa ili yajichomeke ila wapiiiii zotd hapo naona zina kidari cha kutoshaSUPER LEAGUE YALETWA AFRIKA
Kutoka jijini Arusha Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8
CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania.
Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania.
Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.
Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni.
Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League
1 Al Ahly
2 Zamalek
3 Pyramid
4 Al Masry
5 Wydad AC 6 Raja Athletic
7 RS Berkane
8 Esperance
9 Etoil Sportive Du Suhel
10 Orlando Pirates
11 Kaizer Chiefs
12 Mamelodi Sundowns
13 JS Kabyile
14 CR Belouzidad
15 E.S Setif
16 TP Mazembe 2 17 Horoya AC
18 SC Enyimball
19 Petro de Luanda
20 Simba SC
21 Asante Kotoko
22 Al Hilal
23 Asec Mimosas
24 Coton Sport
Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe
Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121
Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.
We jamaa huwaga naitafutaga comment yako kila uzi wa Mpira ..Pole sn Kwa hili maana nayafeel maumivu unayoyapata😭😭Sawa
Mimi ni mnyama mkaliiWe jamaa huwaga naitafutaga comment yako kila uzi wa Mpira ..Pole sn Kwa hili maana nayafeel maumivu unayoyapata😭😭
Mmekuwa wapiga rsmli maarufu siku hizi?Hizi ndio Timu 10 ambazo zimekua confirmed Zitashiriki Super League Mwakani
1. Al Ahly
2. Zamalek SC
3. Mamelodi Sundowns
4. Orlando Pirates
5. Wydad AC
6. Raja CA
7. RS Berkane
8. Yanga SC
9. Simba SC
10. TP Mazembe
Timu 14 zitaongezwa hapo baadae #AfricaSuperLeague
View attachment 2320121
Haya mashindano yasinge noga bila Uwepo wa Yanga SC.