Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Wanaidawa kuwa na upendo, huwa maarufu sana, ni watu watulivu, wenye amani na pia wanasifika kuwa na uvumilivu
Inadaiwa Watu hawa huwa na mtazamo chanya wa mambo na hivyo huwafanya kuwa werevu na Washauri wazuri. Huwa ni watu wanaojitahidi kufikia malengo yao bila kujali changamoto au vikwazo wanavyokutanana navyo
Watu hawa ni wanaoamini katika Haki na Usawa, hii inawafanya wanaaminika kuwa wana uwezo wa kutatua migogoro
Baadhi ya Watu maarufu kutoka Tanzania waliozaliwa mwezi wa Oktoba ni pamoja na Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Awamu ya 5 wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli na aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Hayati Maalim Seif Sharif Hamad
Wengine ni Wanamuziki maarufu Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' , Mwanasiasa Anna Tibaijuka na Mcheza Mpira, Simon Msuva
Je kuna Ukweli Gani kuhusu Tabia hizi?
Inadaiwa Watu hawa huwa na mtazamo chanya wa mambo na hivyo huwafanya kuwa werevu na Washauri wazuri. Huwa ni watu wanaojitahidi kufikia malengo yao bila kujali changamoto au vikwazo wanavyokutanana navyo
Watu hawa ni wanaoamini katika Haki na Usawa, hii inawafanya wanaaminika kuwa wana uwezo wa kutatua migogoro
Baadhi ya Watu maarufu kutoka Tanzania waliozaliwa mwezi wa Oktoba ni pamoja na Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Awamu ya 5 wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli na aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Hayati Maalim Seif Sharif Hamad
Wengine ni Wanamuziki maarufu Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' , Mwanasiasa Anna Tibaijuka na Mcheza Mpira, Simon Msuva
Je kuna Ukweli Gani kuhusu Tabia hizi?