Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hata hizo nchi za njee wanatamni kuja kiwanja😁😁😁😁😁The end justifies the means. Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu- USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲.
Kwamba hata hizo nchi za njee wanatamni kuja kiwanja😁😁😁😁😁
Mbona waandika mpka nyuzi tusibabaishwe na wanaoishi marekani wanateseka eti!!😁😁You already know, Mkuu. Marais wao wenyewe wanacheza green card lottery 🤣🤣🤣
Mbona waandika mpka nyuzi tusibabaishwe na wanaoishi marekani wanateseka eti!!😁😁
Bado sio Kama mazingira ya mateja ya mwananyamala
Kwakweli, hakuna bahati na sibuHamna habari ya shortcut na bahati nasibu mkuu wote tulipambana na kujilipua tuu..... The rest ndo Mungu anaeza kuonea huruma😂😂😂
Hii ndio kauli sasa, ni either ufanye ama ufe!Wewe vipi ume give up mkuu? Mimi naamini tu one day yes do or die
Hii inahitaji uvumilivu na muda ila ni njia ambayo haihitaji gharama kubwa, na mnaweza kusafiri hadi na majiraniVip sasa kuhusu awa wanao pitiya njia za ku kambi (refuges)
Kwa wewe mcongo freshi ila mTZ hawakubali kuwa mkimbiziVip sasa kuhusu awa wanao pitiya njia za ku kambi (refuges)
mkuu, naomba nikuchekHamna kuna mlami mmoja tulikutana then tukawa marafiki akanipa connection nikajichanga nikasepa "kubeba box "
Now nipo kwenye process ya Kujiongeza
Karibumkuu, naomba nikuchek
Wew unazo?? Tuanzie hapo, alafu sio rakini ni lakini!Hamna sehemu tamu kama bongo ukiwa na hela rakini
We umesikia oparation ipi ya kuwarudisha watanzaniaWakati Serikali ya China inawatafuta Raia wake popote walipo duniani iwarudishe China kwa "Operation Fox Hunt" kwa nguvu wewe unataka kuwatoa raia wa Tanzania nje ya nchi yao. Wewe siyo Mzalendo kabisa.
Sijasikia, kwasababu watanzania hawahitajiki nchini mwao, ukitoka umelisaidia taifa kupumua, na hutakiwi kurudi.We umesikia oparation ipi ya kuwarudisha watanzania