Hizi ndiyo njia rahisi zaidi kuingia Marekani, Ulaya na Asia

Hizi ndiyo njia rahisi zaidi kuingia Marekani, Ulaya na Asia

The end justifies the means. Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu- USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲.
Kwamba hata hizo nchi za njee wanatamni kuja kiwanja😁😁😁😁😁
 
You already know, Mkuu. Marais wao wenyewe wanacheza green card lottery 🤣🤣🤣
Mbona waandika mpka nyuzi tusibabaishwe na wanaoishi marekani wanateseka eti!!😁😁
 
Akuna jambo ukiliamulia linashindikana jambo la muhimu ni action, kujua abc then uwe hata na marafiki wakuongoze unapohitaji kufika utafika pia tafuta docomeee pia mpunga uwe Kwa akaunti the rest iz history
 
Vip sasa kuhusu awa wanao pitiya njia za ku kambi (refuges)
Hii inahitaji uvumilivu na muda ila ni njia ambayo haihitaji gharama kubwa, na mnaweza kusafiri hadi na majirani
 
Hamna sehemu tamu kama bongo ukiwa na hela rakini
 
Nawashauri watu wachezi hii njia ya green card ni simple bahati yako tu
 
Wakati Serikali ya China inawatafuta Raia wake popote walipo duniani iwarudishe China kwa "Operation Fox Hunt" kwa nguvu wewe unataka kuwatoa raia wa Tanzania nje ya nchi yao. Wewe siyo Mzalendo kabisa.
 
Wakati Serikali ya China inawatafuta Raia wake popote walipo duniani iwarudishe China kwa "Operation Fox Hunt" kwa nguvu wewe unataka kuwatoa raia wa Tanzania nje ya nchi yao. Wewe siyo Mzalendo kabisa.
We umesikia oparation ipi ya kuwarudisha watanzania
 
Back
Top Bottom