Hizi ndiyo picha za X zinazo sisimua zaidi

Shenzz type, nimechomoa simu kwenye chajio kwaajili ya kufungua huu Uzi kumbe Γ— yenyewe ndo hii @Β£%&-%%
 
We mwana taratibuuuu eeee, nilishafunga na mlango ili niangalie vizuri hizo x
 
dah!! mleta uzi acha ukuda!! na kuandaa kote mazingira kumbe ni x za nyumba!! hauko serious kiongozi.
 
Wabongo kwa kupenda ngono najua hii thread itapata viewers wengi wakitegemea kuona mambo yetu yalee..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Si tunaotumia app tumeona picha kabla ya kuifungua thread pole sana mleta maada
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekakimbilia kukafungua ili nipatemo ka stiimu ka asubuhi, kumbe ni picha ya li gonjwa la moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…