NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
HIVI UNAMJUA GIFT MAUYA WEWEMimi Yanga mwenzio .
Nikajua unaleta analysis serious lakin umeamua kuleta ya KINAZI.
Ulipomtaja Gift Mauya nikaishia hapo kusoma.
Me mwenyewe ni mwananchi lialia lakini mauya hamna kitu mule.HIVI UNAMJUA GIFT MAUYA WEWE
AU KWA KUA HAPEWI NAFASI UNAMCHUKULIA SIMPLE SIMPLE.
KWANI MLISHINDA KWA MABAO MANGAPIMmeanza kujitekenya.
Baada ya dua zenu jana kugonga mwamba
NILIKUAMBIA KUWA LETA NA MANENO YA RAGE HUTAKI."MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
CHEKA SANA ANGALIA USIJE ULAJAMBA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio ulajamba ,Sema ukajambaCHEKA SANA ANGALIA USIJE ULAJAMBA
Vipi idara ya ushambuliaji mbona hautaji1/ Benchi la ufundi makini kuanzia kocha mpaka kocha msaidizi na makocha wanaoshughulika na kuweka fit miili ya wachezaji.
2/ Viongozi wa Yanga SC kuanzia Rais mpaka Makamo hatua ya kufika Fainali katika Kombe la Shirikisho ni somo tosha kwa viongozi, nadhani wamejifunza mengi nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja.
3/wachezaji wenye uzoefu mkubwa (experience)
- Kipa hapa kuna Diara mdaka mishale a.k.a screen protector, sina mashaka nae ni kipa Bora kabisa katika Ligi yetu hii hadi East Africa.
- Viungo Wakabaji (Aucho, Mudathri, Sureboy, Gift Mauya ) kila ninapotazama clip za YouTube jinsi Waarabu wa Tunisia wavyopata tabu naondoa mashaka kabisa nakuona kuwa Al Ahly lazima adondoshe point.
- Mabeki wa pembeni (Yao, lomalosa, nk.) hakika ni miamba kabisa, sioni Yanga SC wakipoteza point kwenye uwanja wa nyumbani.
- Viungo washambuliaji (Aziz Ki, Pakome, Max nzengel)
Sina mashaka na uwezo wao, Al Ahly waje ni ngumu kwa Yanga SC kupoteza point tatu muhimu kwenye uwanja wa nyumbani.
NB: Habari zenu tunazo kuwa Mama hajawapa hata mia mbovu maana mmefunga lakini hamjashinda mechi.
KWANI IHEFU KAIFUNGA YANGA MARA NGAPI.
TUKUTANE KWA MKAPA.Huna tofaut na wale wanaoigilizia mitihani hadi jina...we uliona game na kudhan ni warahisi ki hivyo?ngoja mkutane alafu uje uandikw ushuzi ulioleta hapa...hapa usitumie kipimo Cha Simba na kujiona kuwa unawamudu Hawa waarabu...mkikaa vibaya hata hamsa mtakula mkiwa nyumban...wao wanacheza mpira wa malengo tofaut na nyie mnaotaka kuwafurahisha mashabik
TOKA UMEPIGWA GOLI TANO UMEPOTEANA HUMU
HATA WEWE UNAWEZA KUTAJA.Vipi idara ya ushambuliaji mbona hautaji
Sawa Dr JamboSio ulajamba ,Sema ukajamba
Shuleni mnaenda kusomea Ujinga?
In faiza voice [emoji28][emoji28][emoji28]