Hizi ndiyo sababu kuntu zinazonifanya niamini kuwa Al Ahly lazima adondoshe point 3 muhimu mbele ya Yanga SC

Hizi ndiyo sababu kuntu zinazonifanya niamini kuwa Al Ahly lazima adondoshe point 3 muhimu mbele ya Yanga SC

Mimi Yanga mwenzio .
Nikajua unaleta analysis serious lakin umeamua kuleta ya KINAZI.

Ulipomtaja Gift Mauya nikaishia hapo kusoma.
HIVI UNAMJUA GIFT MAUYA WEWE

AU KWA KUA HAPEWI NAFASI UNAMCHUKULIA SIMPLE SIMPLE.
 
HIVI UNAMJUA GIFT MAUYA WEWE

AU KWA KUA HAPEWI NAFASI UNAMCHUKULIA SIMPLE SIMPLE.
Me mwenyewe ni mwananchi lialia lakini mauya hamna kitu mule.
Ukiangalia hata game na Ihefu yeye ndio alie zingua pale kati.

Nalishauri benchi la ufundi liamuangalie kwa makini huyu jamaa (Mauya) ikibidi msimu ujao ampishe Yusuph kagoma pale kati.
 
HAYA MATAHIRA YA JAMII FORUM YANANIBOA SANA.

NI WAKATI SASA WA KUWTAFUTA BUTTON YA K U I G N O R E.
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
CHEKA SANA ANGALIA USIJE ULAJAMBA
 
1/ Benchi la ufundi makini kuanzia kocha mpaka kocha msaidizi na makocha wanaoshughulika na kuweka fit miili ya wachezaji.

2/ Viongozi wa Yanga SC kuanzia Rais mpaka Makamo hatua ya kufika Fainali katika Kombe la Shirikisho ni somo tosha kwa viongozi, nadhani wamejifunza mengi nje ya uwanja mpaka ndani ya uwanja.

3/wachezaji wenye uzoefu mkubwa (experience)

- Kipa hapa kuna Diara mdaka mishale a.k.a screen protector, sina mashaka nae ni kipa Bora kabisa katika Ligi yetu hii hadi East Africa.

- Viungo Wakabaji (Aucho, Mudathri, Sureboy, Gift Mauya ) kila ninapotazama clip za YouTube jinsi Waarabu wa Tunisia wavyopata tabu naondoa mashaka kabisa nakuona kuwa Al Ahly lazima adondoshe point.

- Mabeki wa pembeni (Yao, lomalosa, nk.) hakika ni miamba kabisa, sioni Yanga SC wakipoteza point kwenye uwanja wa nyumbani.

- Viungo washambuliaji (Aziz Ki, Pakome, Max nzengel)

Sina mashaka na uwezo wao, Al Ahly waje ni ngumu kwa Yanga SC kupoteza point tatu muhimu kwenye uwanja wa nyumbani.

NB: Habari zenu tunazo kuwa Mama hajawapa hata mia mbovu maana mmefunga lakini hamjashinda mechi.
Vipi idara ya ushambuliaji mbona hautaji
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Huna tofaut na wale wanaoigilizia mitihani hadi jina...we uliona game na kudhan ni warahisi ki hivyo?ngoja mkutane alafu uje uandikw ushuzi ulioleta hapa...hapa usitumie kipimo Cha Simba na kujiona kuwa unawamudu Hawa waarabu...mkikaa vibaya hata hamsa mtakula mkiwa nyumban...wao wanacheza mpira wa malengo tofaut na nyie mnaotaka kuwafurahisha mashabik
 
Huna tofaut na wale wanaoigilizia mitihani hadi jina...we uliona game na kudhan ni warahisi ki hivyo?ngoja mkutane alafu uje uandikw ushuzi ulioleta hapa...hapa usitumie kipimo Cha Simba na kujiona kuwa unawamudu Hawa waarabu...mkikaa vibaya hata hamsa mtakula mkiwa nyumban...wao wanacheza mpira wa malengo tofaut na nyie mnaotaka kuwafurahisha mashabik
TUKUTANE KWA MKAPA.
 
Back
Top Bottom