MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
ulikuwa na data za ndaaani kabisaNshapokea meseji, bei mpya inaanza August 1
Waleteeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulikuwa na data za ndaaani kabisaNshapokea meseji, bei mpya inaanza August 1
Waleteeee
Hapana Joyce...Unataka umuone Debora sio?
Nakukubali sana. Kina nyuzi (jezi) sijaziona za 24/25 mkuu.Nshapokea meseji, bei mpya inaanza August 1
Waleteeee
Kifurushi kinauzwa elfu 12,500 mpaka 13,500 kwa mwezi inategemea na kupanda na kushuka kwa Shilingi ya Kenya na unacheki Azam Sports 1, 2, 3 na 4.Huko bei ni sh ngapi mkongwe!?
Nilikuwa sijatulia, soon nta-updateNakukubali sana. Kina nyuzi (jezi) sijaziona za 24/25 mkuu.
Kinapatikanaje?Ninunue sasa king’amuzi cha Azam cha Malawi au Kenya, maana huko bei mteremko sana
Ni yule asiyesikia auDrama hizo za vifurushi
View attachment 3050338
Unalosema dramaNi yule asiyesikia au
Na namna ya kulipia je? Kwa safaricom ama?Kifurushi kinauzwa elfu 12,500 mpaka 13,500 kwa mwezi inategemea na kupanda na kushuka kwa Shilingi ya Kenya na unacheki Azam Sports 1, 2, 3 na 4.
Nishaagiza kutokea boda ya Isebania / Sirari kimepakiwa kwenye gari kinakuja nilipo nafikiri ntakipata keshokutwa.
Zillizo tafsiriwa na fundi maiko[emoji28][emoji28]sijawahi kuielewa Azam kabsaWanapandisha bei halafu channel zao zimejaa tamthiliya nyingi za Kituruki!
Zillizo tafsiriwa na fundi maiko[emoji28][emoji28]sijawahi kuielewa Azam kabsaWanapandisha bei halafu channel zao zimejaa tamthiliya nyingi za Kituruki!
Kupitia website yao Azam huku ukiwa na salio kwa mastercard au visa card hata hizi za Voda na tigoNa namna ya kulipia je? Kwa safaricom ama?
Shukrani kakaKupitia website yao Azam huku ukiwa na salio kwa mastercard au visa card hata hizi za Voda na tigo