Hizi ndizo faida kuntu za kuwepo shetani na ibilisi duniani

Hizi ndizo faida kuntu za kuwepo shetani na ibilisi duniani

Wafia dini bwana! Badala ya kujibu kwa hoja mnaanza kutisha watu...

Binafsi siamini kama kuna kiumbe wa kuitwa shetani. Shetani ni imaginary character aliyetengenezwa na binadamu ili yeye (binadamu) apate uwezo wa kukwepa kuwajibika kwa makosa yake mwenyewe.

Mungu yupo
Shetani hayupo
Dhambi haipo
Kama Mungu yupo basi shetani yupo pia na kama hayupo na shetani hatakuwepo, hivi vitu vinaenda sambamba.

Dhambi ipo
Mbingu ipo na kuna watu wataenda
Jehanam/Motoni hamna
 
Umenena! Kumbuka Yesu akipopandishwa mlimani alionyeshwa ufalme wa duniani ni mali ya shetani. Wanaomkubali shetani huwa wanapeta sana duniani. Wanaomkataa shetani huwa wanatumia mali ya shetani bila kujitambua. Mf. Pesa ya msukule huitambui ila unaitumia pasipo kujitambua. Kila penye uzuri pana ubaya.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Muda mengine watu wanafanya mambo ya ovyo katika vichwa vyao wanasema shetani na siku ya mwisho hatawakana
Usiwe na kiburi cha uzima..
Kuna baadh ya mambo hupaswi kabisa kuzungumza.. Waswahili husema "Jina la kitabu huwa linafanisi yaliyomo"
Kwa hyo hatutaweza kubadili msimamo wako lkn tunajua kuwa hcho ni kiburi cha uzima tu..
 
Usiwe na kiburi cha uzima..
Kuna baadh ya mambo hupaswi kabisa kuzungumza.. Waswahili husema "Jina la kitabu huwa linafanisi yaliyomo"
Kwa hyo hatutaweza kubadili msimamo wako lkn tunajua kuwa hcho ni kiburi cha uzima tu..
Wewe umepata wapi habari za kujua yaliyomo nafsi mwangu
Pia najua hakuna hatobakii duniani hivyo usinilizamishe kuamini kama unavyotaka ww
Je unaweza kunipa ushahidi au uthibitisho wa kuwepo kwa iblis au wewe ulishawahi kumuona au inabaki imani kuwa kuna iblis?
 
MWISHO
Ibilisi ni dude lililomshinda Mungu na akaamua kuwasukumia binadamu.

🙄🙄🙄🙄
Maji tu yakikupalia au ukishikwa na kichomi cha moyo haya maneno yote utayakana.. na within a minute utajikuta umetubu dhambi zako zote haijalishi unamuamini au wamuamini...Tulifika Near death experience we know a bit about how death it's like. Chung sana, It's supper scary..Pumzi zako hizi unazovuta kwa uhuru zisikufanye ujione mwamba. It's matter of button, ikibonyezwa tukubadilisha jina kabisa. Be humble dogo..Be Kind
Jurjani
 
Kwanza shetani ni an illusion tu, ila uwepo wa dhana hiyo ni fursa na faida kubwa.

Shetani hana watetezi, wala hajawahi kujigamba wala kujitetea sehemu... lakini Mungu katumia timu na nguvu nyingi mno kumchafua/kumshusha shetani na bado anadunda!
hahahhaha take care
 
Back
Top Bottom