Kama Mungu yupo basi shetani yupo pia na kama hayupo na shetani hatakuwepo, hivi vitu vinaenda sambamba.Wafia dini bwana! Badala ya kujibu kwa hoja mnaanza kutisha watu...
Binafsi siamini kama kuna kiumbe wa kuitwa shetani. Shetani ni imaginary character aliyetengenezwa na binadamu ili yeye (binadamu) apate uwezo wa kukwepa kuwajibika kwa makosa yake mwenyewe.
Mungu yupo
Shetani hayupo
Dhambi haipo
Huyo mwamba namuelewa sanaI love you Lucifer..hail Lucifer!!!!
Pamoja na Kaini..namuelewa Sana. Alilaaniwa et atakuwa mtu asie na makazi lakini yeye na kizazi chake wakawa watu wa kwanza kujenga jijiHuyo mwamba namuelewa sana
duuuI love you Lucifer..hail Lucifer!!!!
Hahaha jehanam ndoo unapakataa utaendaa tuuKama Mungu yupo basi shetani yupo pia na kama hayupo na shetani hatakuwepo, hivi vitu vinaenda sambamba.
Dhambi ipo
Mbingu ipo na kuna watu wataenda
Jehanam/Motoni hamna
Jehanam ni hapa hapa duniani. Baba anayekupenda hawezi kukuchoma moto kisa umeiba.Hahaha jehanam ndoo unapakataa utaendaa tuu
Mkuu siku hiyo wanayosema ya mwisho hatawakana mm sipo
Usiwe na kiburi cha uzima..Muda mengine watu wanafanya mambo ya ovyo katika vichwa vyao wanasema shetani na siku ya mwisho hatawakana
Wewe umepata wapi habari za kujua yaliyomo nafsi mwanguUsiwe na kiburi cha uzima..
Kuna baadh ya mambo hupaswi kabisa kuzungumza.. Waswahili husema "Jina la kitabu huwa linafanisi yaliyomo"
Kwa hyo hatutaweza kubadili msimamo wako lkn tunajua kuwa hcho ni kiburi cha uzima tu..
JurjaniMWISHO
Ibilisi ni dude lililomshinda Mungu na akaamua kuwasukumia binadamu.
ππππ
Maji tu yakikupalia au ukishikwa na kichomi cha moyo haya maneno yote utayakana.. na within a minute utajikuta umetubu dhambi zako zote haijalishi unamuamini au wamuamini...Tulifika Near death experience we know a bit about how death it's like. Chung sana, It's supper scary..Pumzi zako hizi unazovuta kwa uhuru zisikufanye ujione mwamba. It's matter of button, ikibonyezwa tukubadilisha jina kabisa. Be humble dogo..Be Kind
Naam naam. Nipe habari.
It's matter of button, ikibonyezwa tukubadilisha jina kabisa.
hahahhaha take careKwanza shetani ni an illusion tu, ila uwepo wa dhana hiyo ni fursa na faida kubwa.
Shetani hana watetezi, wala hajawahi kujigamba wala kujitetea sehemu... lakini Mungu katumia timu na nguvu nyingi mno kumchafua/kumshusha shetani na bado anadunda!
πππMi NAJIULIZA KWANN SHETANI Naye Ana mama mkwe?