Akilidebe
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 204
- 124
Kusahau ni changamoto kwa watu wengi sana.
Kwa sababu ya kusahau 🙁hasara)
-wanafunzi na wanavyuo wanakesha kujisomea. Kama kungekua Hakuna kusahu basi ingewezekana kusoma chekechea hadi chuo kikuu kwa mwaka mmoja.
-watu wanapoteza uaminifu. Kwasababu wanasahau kufanya jambo la msingi.
-watu wanapoteza pesa nyingi (mtu kulipa mara mbili, wengine kusahau walipo ziweka.
-Ugomvi ndani ya ndoa (mke kusahu alichotakiwa kufanya au kuagizwa na Mume wake, mke/mume kusahau kufuta message za mchepuko.
Na hasara nyinginezo ambazo pengine umekumbana nazo.
Lakini kusahau kuna faida
-ingekuaje leo una uchungu uleule (yaani hujasahau) kifo cha mama au baba yako, pengine rafiki yako mpendwa.
-ingekuaje mwanamke alietoka leba kuwa na uchungu na maumivu yaleyale kila siku, je atafikiria kujifungua tena?
-je ungekua na uchungu wa kuachwa au kumizwa na mme, mke au mpenzi wako hadi wakati huu ungeweza kuwa na amani??
Je ungeweza kumsamehe rafiki ako aliekukosea, au mwanao?? Kama ungekua na uchungu hadi leo??
Je wanandoa wangeishije kama wasingekua na uwezo wa kusahau makosa wanyofanyiana??
MUNGU ANA KUSUDI KWA KILA JAMBO
Kwa sababu ya kusahau 🙁hasara)
-wanafunzi na wanavyuo wanakesha kujisomea. Kama kungekua Hakuna kusahu basi ingewezekana kusoma chekechea hadi chuo kikuu kwa mwaka mmoja.
-watu wanapoteza uaminifu. Kwasababu wanasahau kufanya jambo la msingi.
-watu wanapoteza pesa nyingi (mtu kulipa mara mbili, wengine kusahau walipo ziweka.
-Ugomvi ndani ya ndoa (mke kusahu alichotakiwa kufanya au kuagizwa na Mume wake, mke/mume kusahau kufuta message za mchepuko.
Na hasara nyinginezo ambazo pengine umekumbana nazo.
Lakini kusahau kuna faida
-ingekuaje leo una uchungu uleule (yaani hujasahau) kifo cha mama au baba yako, pengine rafiki yako mpendwa.
-ingekuaje mwanamke alietoka leba kuwa na uchungu na maumivu yaleyale kila siku, je atafikiria kujifungua tena?
-je ungekua na uchungu wa kuachwa au kumizwa na mme, mke au mpenzi wako hadi wakati huu ungeweza kuwa na amani??
Je ungeweza kumsamehe rafiki ako aliekukosea, au mwanao?? Kama ungekua na uchungu hadi leo??
Je wanandoa wangeishije kama wasingekua na uwezo wa kusahau makosa wanyofanyiana??
MUNGU ANA KUSUDI KWA KILA JAMBO