Zanzibar 2020 Hizi ndizo hoja na karama zitakazombeba mgombea yoyote wa Urais Zanzibar

Zanzibar 2020 Hizi ndizo hoja na karama zitakazombeba mgombea yoyote wa Urais Zanzibar

KISHADA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
2,226
Reaction score
3,291
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama

HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4. Kupambana na rushwa, ufisadi na upendeleo wa kivyama, ujimbo na udugu.
5. Kuifungua Zanzibar kiuchumi na kufungua fursa za ajira za kijiografia ikiwemo milango ya bahari na utalii
6. Kuondoa uzembe makazini, kujuana na kubebana kisiasa.
7. Kufumua mifumo ya ufisadi na mianya ya kisheria inayowakingia kifua wabadhirifu.
8. Kufumua mfumo wa uajiri wa kibaguzi uliopo na kutoa fursa kwa wataalamu hasa vijana
9. N.K.

KARAMA
1. Mtu ambaye hatiliwi shaka na umma wa wazanzibari (anayependwa na wazanzibari)
2. Mtu wa watu, muadilifu, mkweli na mwenye misimamo isiyoyumba
3. Mwenye historia ya uzalendo wa kweli kwa Zanzibar
4. Asiyefungwa na makondo kando ya uenevu, chuki, itikadi na milengo ambayo kwa sasa wazanzibari wanaihusisha na kupotea mamlaka ya Zanzibar
5. Mwenye historia ya mapambano ya kweli ya kudai haki ya Zanzibar kwenye awamu tofauti tofauti
6. Jasiri na shupavu.
7. Awe ameishi na wazanzibari kwa jua na mvua
8. Asiye fisadi na tamaa, na asiyefungamana na mfumo wa ufisadi na ubadhirifu unaopigiuwa kelele kwa sasa.
9. Anayekubalika maeneo yote Zanzibar (Wazanzibari wana vigezo vyao) vimejificha. (Uzanzibari. Mila desturi, nidhamu n.k)
10. Mwenye kujitoa kwa maslahi ya Zanzibar (mifano na ushahidi unahitajika)

Hizo ni baadhi ya hoja na karama ambazo mgombea yoyote kwa Zanzibar atapimwa na kuchekechwa.

Hapa nakusudia wananchi na sio DOLA.

Kishada
 
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama

HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4. Kupambana na rushwa, ufisadi na upendeleo wa kivyama, ujimbo na udugu.
5. Kuifungua Zanzibar kiuchumi na kufungua fursa za ajira za kijiografia ikiwemo milango ya bahari na utalii
6. Kuondoa uzembe makazini, kujuana na kubebana kisiasa.
7. Kufumua mifumo ya ufisadi na mianya ya kisheria inayowakingia kifua wabadhirifu.
8. Kufumua mfumo wa uajiri wa kibaguzi uliopo na kutoa fursa kwa wataalamu hasa vijana
9. N.K.

KARAMA
1. Mtu ambaye hatiliwi shaka na umma wa wazanzibari (anayependwa na wazanzibari)
2. Mtu wa watu, muadilifu, mkweli na mwenye misimamo isiyoyumba
3. Mwenye historia ya uzalendo wa kweli kwa Zanzibar
4. Asiyefungwa na makondo kando ya uenevu, chuki, itikadi na milengo ambayo kwa sasa wazanzibari wanaihusisha na kupotea mamlaka ya Zanzibar
5. Mwenye historia ya mapambano ya kweli ya kudai haki ya Zanzibar kwenye awamu tofauti tofauti
6. Jasiri na shupavu.
7. Awe ameishi na wazanzibari kwa jua na mvua
8. Asiye fisadi na tamaa, na asiyefungamana na mfumo wa ufisadi na ubadhirifu unaopigiuwa kelele kwa sasa.
9. Anayekubalika maeneo yote Zanzibar (Wazanzibari wana vigezo vyao) vimejificha. (Uzanzibari. Mila desturi, nidhamu n.k)
10. Mwenye kujitoa kwa maslahi ya Zanzibar (mifano na ushahidi unahitajika)

Hizo ni baadhi ya hoja na karama ambazo mgombea yoyote kwa Zanzibar atapimwa na kuchekechwa.

Hapa nakusudia wananchi na sio DOLA.

Kishada
Nikiangalia hoja Dr. Mwinyi kama aliziotea kwenye hotuba yake Pemba lkn karama ana sifuri. Ni maoni yangu tu Mkuu.
Z
 
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama

HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4. Kupambana na rushwa, ufisadi na upendeleo wa kivyama, ujimbo na udugu.
5. Kuifungua Zanzibar kiuchumi na kufungua fursa za ajira za kijiografia ikiwemo milango ya bahari na utalii
6. Kuondoa uzembe makazini, kujuana na kubebana kisiasa.
7. Kufumua mifumo ya ufisadi na mianya ya kisheria inayowakingia kifua wabadhirifu.
8. Kufumua mfumo wa uajiri wa kibaguzi uliopo na kutoa fursa kwa wataalamu hasa vijana
9. N.K.

KARAMA
1. Mtu ambaye hatiliwi shaka na umma wa wazanzibari (anayependwa na wazanzibari)
2. Mtu wa watu, muadilifu, mkweli na mwenye misimamo isiyoyumba
3. Mwenye historia ya uzalendo wa kweli kwa Zanzibar
4. Asiyefungwa na makondo kando ya uenevu, chuki, itikadi na milengo ambayo kwa sasa wazanzibari wanaihusisha na kupotea mamlaka ya Zanzibar
5. Mwenye historia ya mapambano ya kweli ya kudai haki ya Zanzibar kwenye awamu tofauti tofauti
6. Jasiri na shupavu.
7. Awe ameishi na wazanzibari kwa jua na mvua
8. Asiye fisadi na tamaa, na asiyefungamana na mfumo wa ufisadi na ubadhirifu unaopigiuwa kelele kwa sasa.
9. Anayekubalika maeneo yote Zanzibar (Wazanzibari wana vigezo vyao) vimejificha. (Uzanzibari. Mila desturi, nidhamu n.k)
10. Mwenye kujitoa kwa maslahi ya Zanzibar (mifano na ushahidi unahitajika)

Hizo ni baadhi ya hoja na karama ambazo mgombea yoyote kwa Zanzibar atapimwa na kuchekechwa.

Hapa nakusudia wananchi na sio DOLA.

Kishada
Mkuu umenikosha sana , na kwa hiyo sina haja tena ya kuanzisha uzi mwingine wa kuelezea vipaumbele vya wazanzibari ambavyo mgombea uraisi ni lazima avifafanue na kueleza ni namna gani atavitekeleza kwa ufasaha kabisa bila ya kumumunya maneno.Ila haya naongezea tuu.
-Atuletee Mfumo mpya wa Muungano wenye kukubalika na wananchi,sio huu wa kinyonyaji
-Masheikh wetu watolewe jela na kulipwa fidia au wahukumiwe kwa makosa waliyotuhumiwa kuyafanya.
-Zanzibar iwe na Veto kwenye Muungano kwa mambo yahusuyo Muungano.
-Atuhakikishie kufunguliwa kwa Account ya pamoja kama ilivyoainishwa kwenye ktiba ya Jamuhuri ili tujuwe Quater yetu tunayotakiwa kuchangia kwenye Muungano na Mgao wetu katika mapato ya muungano.
 
Kiufupi umekuja kumuelezea Maalim Seif. BTW Zanzibar uchaguzi upo wazi mshindi wa kura anajuulikana tayari ni Maalim Seif.

CCM huku hawahangaiki na vipi watapata kura bali ni vipi wataweza kupindua matokeo ya uchaguzi yaani mbinu gani itumike safari hii. Maana kwa hakika wanajuwa Wanzanzibar wameichoka CCM vibaya sana na hawana uwezo wa kushinda kwa box la kura.
 
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama

HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4. Kupambana na rushwa, ufisadi na upendeleo wa kivyama, ujimbo na udugu.
5. Kuifungua Zanzibar kiuchumi na kufungua fursa za ajira za kijiografia ikiwemo milango ya bahari na utalii
6. Kuondoa uzembe makazini, kujuana na kubebana kisiasa.
7. Kufumua mifumo ya ufisadi na mianya ya kisheria inayowakingia kifua wabadhirifu.
8. Kufumua mfumo wa uajiri wa kibaguzi uliopo na kutoa fursa kwa wataalamu hasa vijana
9. N.K.

KARAMA
1. Mtu ambaye hatiliwi shaka na umma wa wazanzibari (anayependwa na wazanzibari)
2. Mtu wa watu, muadilifu, mkweli na mwenye misimamo isiyoyumba
3. Mwenye historia ya uzalendo wa kweli kwa Zanzibar
4. Asiyefungwa na makondo kando ya uenevu, chuki, itikadi na milengo ambayo kwa sasa wazanzibari wanaihusisha na kupotea mamlaka ya Zanzibar
5. Mwenye historia ya mapambano ya kweli ya kudai haki ya Zanzibar kwenye awamu tofauti tofauti
6. Jasiri na shupavu.
7. Awe ameishi na wazanzibari kwa jua na mvua
8. Asiye fisadi na tamaa, na asiyefungamana na mfumo wa ufisadi na ubadhirifu unaopigiuwa kelele kwa sasa.
9. Anayekubalika maeneo yote Zanzibar (Wazanzibari wana vigezo vyao) vimejificha. (Uzanzibari. Mila desturi, nidhamu n.k)
10. Mwenye kujitoa kwa maslahi ya Zanzibar (mifano na ushahidi unahitajika)

Hizo ni baadhi ya hoja na karama ambazo mgombea yoyote kwa Zanzibar atapimwa na kuchekechwa.

Hapa nakusudia wananchi na sio DOLA.

Kishada
KISHADA,
Ulichofanya hapa ni kama vile unataka kununua Toyota V8 ila kwa sababu kwenye tangazo la tenda huruhusiwi kulitaja moja kwa moja kwa jina na badala yake unatakiwa kutaja sifa tu; umeamua kuchukua sifa za V8 "kama zilivyo" halafu kuwaachia wauzaji waamue wenyewe ni gari gani wakati jibu liko wazi. Ila umesomeka.
 
1595508958206.png

Muafaka lazima Uendelezwe,Asietaka Muafaka Na yeye Hatumtaki
 
Hapo anayewafaa wazanzibari ni maalif SEIF na wamekua wakimchagua kila mara tangu 1995..
 
Manyumbu hawaingii hapa kwenye uzi huu, kwa sababu hakuna kumumunya ,mambo yako wazi na Dr. Husein hawezi kutuhakikishiaHOJA hata moja katika hizo na wala zile KARAM
Yeye hoja yake kuualiyokremmishwa na wahafidhina ni
1. Kuulinda Muungano Kwa nguvu zote
2. Kuyalinda na kuyaendeleza Mapinduzi Kama yalivyokuwa 1964, yenye Ubaguzi na Ugozi na Maonevu ya hapa na pale
3. Kuendeleza pale alipoishia Dr, Shein->Atamalizia Mall ya Kisonge na Uwanja wa Ndege kwa miakayake mitano ijayo, atamalizia barabara ya Tunguu,kuanzia kwenye Daraja la Shein (Jumbi Kibonde mzungu) hadi kona ya njia ya Makunduchi
 
Mada inahusika. Kwa maoni yangu hizi ni hoja na Karama

HOJA
1. Msimamo wa wazi wa hatma ya Zanzibar yenye mamlaka kamili au muungano wa usawa
2. Kudumisha umoja wa kitaifa na kuilinda serikali ya GNU
3. Kuitii Katiba ya Zanzibar na kupigania Maslahi ya wazanzibari katika mazingira yoyote.
4. Kupambana na rushwa, ufisadi na upendeleo wa kivyama, ujimbo na udugu.
5. Kuifungua Zanzibar kiuchumi na kufungua fursa za ajira za kijiografia ikiwemo milango ya bahari na utalii
6. Kuondoa uzembe makazini, kujuana na kubebana kisiasa.
7. Kufumua mifumo ya ufisadi na mianya ya kisheria inayowakingia kifua wabadhirifu.
8. Kufumua mfumo wa uajiri wa kibaguzi uliopo na kutoa fursa kwa wataalamu hasa vijana
9. N.K.

KARAMA
1. Mtu ambaye hatiliwi shaka na umma wa wazanzibari (anayependwa na wazanzibari)
2. Mtu wa watu, muadilifu, mkweli na mwenye misimamo isiyoyumba
3. Mwenye historia ya uzalendo wa kweli kwa Zanzibar
4. Asiyefungwa na makondo kando ya uenevu, chuki, itikadi na milengo ambayo kwa sasa wazanzibari wanaihusisha na kupotea mamlaka ya Zanzibar
5. Mwenye historia ya mapambano ya kweli ya kudai haki ya Zanzibar kwenye awamu tofauti tofauti
6. Jasiri na shupavu.
7. Awe ameishi na wazanzibari kwa jua na mvua
8. Asiye fisadi na tamaa, na asiyefungamana na mfumo wa ufisadi na ubadhirifu unaopigiuwa kelele kwa sasa.
9. Anayekubalika maeneo yote Zanzibar (Wazanzibari wana vigezo vyao) vimejificha. (Uzanzibari. Mila desturi, nidhamu n.k)
10. Mwenye kujitoa kwa maslahi ya Zanzibar (mifano na ushahidi unahitajika)

Hizo ni baadhi ya hoja na karama ambazo mgombea yoyote kwa Zanzibar atapimwa na kuchekechwa.

Hapa nakusudia wananchi na sio DOLA.

Kishada
1595709199355.png
 
Watz bado sana. Uwezo wa kuweka hoja kwenye mizani hawana. Na huu ndyo mtaji wa ccm. Watawaletea wasanii watacheza, watakula na kura watawapa.
 
Nikiangalia hoja Dr. Mwinyi kama aliziotea kwenye hotuba yake Pemba lkn karama ana sifuri. Ni maoni yangu tu Mkuu.
Z
Jiridhishe vuzuri kuanzia hoja namba moja hadi mwisho nabumuweke kwenye kioo.

Na hizo karama vipi?
 
Watz bado sana. Uwezo wa kuweka hoja kwenye mizani hawana. Na huu ndyo mtaji wa ccm. Watawaletea wasanii watacheza, watakula na kura watawapa.
Kwa Zanzibar ni tofauti kidogo. Kule wana ajenda za kudumu.
 
Kiufupi umekuja kumuelezea Maalim Seif. BTW Zanzibar uchaguzi upo wazi mshindi wa kura anajuulikana tayari ni Maalim Seif.

CCM huku hawahangaiki na vipi watapata kura bali ni vipi wataweza kupindua matokeo ya uchaguzi yaani mbinu gani itumike safari hii. Maana kwa hakika wanajuwa Wanzanzibar wameichoka CCM vibaya sana na hawana uwezo wa kushinda kwa box la kura.
Nimeeleza hoja na karama kwa Zanzibar.
Ni haki yako kuwapima wagombea na kuwaweka kwenye mizani
 
Jiridhishe vuzuri kuanzia hoja namba moja hadi mwisho nabumuweke kwenye kioo.

Na hizo karama vipi?
Nimejiridhisha. Kwenye hoja unaweza kusema ni sawa Ila tatizo ni msimamo wa chama chake. Kwenye karma ana sifuri.
 
Nitashangaa sana kumpigia kura mtu aliyeletwa kimkakati. Huyo mtu alikuwa mbunge wa mkuranga, baadae likatengenezwa jimbo la jang'ombe akapewa. Leo hii mumpe urais.
 
Nitashangaa sana kumpigia kura mtu aliyeletwa kimkakati. Huyo mtu alikuwa mbunge wa mkuranga, baadae likatengenezwa jimbo la jang'ombe akapewa. Leo hii mumpe urais.
Sio jimbo la Jang'ombe
Ni jimbo la 'Kwahani
 
Back
Top Bottom