Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Walizimiwa umeme kwenye vyumba vyao vya kubadilishia nguo kabla ya mechi! Zama hizi kweli tunafanya ujinga huu? Daah soka letu lina safari ndefu sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Figisu za kijinga kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafuu tunateswa hivi uwanjani
Naona TFF imechukua ushauri wa nini cha kufanya kutoka kwa NEC Ya mahera sio?
Tunatekelezaaaaaaaaaaaaaa.
Mkuu kuwa mzalendo😂😂😂😂Ngoja tu watunyooshe
😂😂😂Naona TFF imechukua ushauri wa nini cha kufanya kutoka kwa NEC Ya mahera sio?
Tunatekelezaaaaaaaaaaaaaa.
[emoji85][emoji85][emoji85]harakati zote hizo usikute ni jitihada za mtu flani kutaka uwaziri wa habari na michezo. Awamu hii mengi tutaona.
Mkuu kuwa mzalendo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NA BADO WANAKANDWA
Tunafungwaa wote watanzia ujue😂😂😂Daah km uzalendo ni hivyo basi me nimeshindwa[emoji23]