Fuatana nami
Kama uliwahi kusikia dunia ya magharibi na mashariki, au ulipata dodoso za vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia Baadae vita ya baridi basi vuta kumbukumbu hapo.
Dunia ilikua almanusura izolewe yote na wajamaa, au ujamaa kumbuka tulikua na ujamaa na ubepari, mataifa mengine yaliyokua na unafiki kama Tanzania wakajichomeka NAM lakini NAM ni umoja uliobeba wajamaa wanafiki.
Kwahiyo unapoona unafiki wa watanzania ulianzia huko, una mizizi mikubwa mno.
Nini kilifuatia kwenye ripoti za uchunguzi za majasusi wa CIA na waambata wao na mbinu zipi zilipendekezwa ili kupambana na ujamaa uliokua tayari umeshamiri duniani.
Nitakua naelezea kidogokidogo kwani mimi sio muandishi mzuri lakini mtaelewa tu.
Kama uliwahi kusikia dunia ya magharibi na mashariki, au ulipata dodoso za vita kuu ya kwanza na ya pili ya dunia Baadae vita ya baridi basi vuta kumbukumbu hapo.
Dunia ilikua almanusura izolewe yote na wajamaa, au ujamaa kumbuka tulikua na ujamaa na ubepari, mataifa mengine yaliyokua na unafiki kama Tanzania wakajichomeka NAM lakini NAM ni umoja uliobeba wajamaa wanafiki.
Kwahiyo unapoona unafiki wa watanzania ulianzia huko, una mizizi mikubwa mno.
Nini kilifuatia kwenye ripoti za uchunguzi za majasusi wa CIA na waambata wao na mbinu zipi zilipendekezwa ili kupambana na ujamaa uliokua tayari umeshamiri duniani.
Nitakua naelezea kidogokidogo kwani mimi sio muandishi mzuri lakini mtaelewa tu.