Hizi ndizo Picha za Ray C Alivyoathiriwa na Madawa ya Kulevya-Inatia Huruma

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304



HAYA NDO MADHARA YA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA......NI BORA TUJIFUNZE KUTOKANA NA MAKOSA.... RAY C ANATIA HURUMA.LAWAMA ZOTE ZIMEELEKEZWA KWA LORD EYEZ AMAYE NDIYE ALIYEMFUNZA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA SHUKRANI ZA DHATI KWA GLOBAL PUBLISHER: HABARI IMEANDIKWA KWA KIREFUKATIKA GAZETI LA LEO LA IJUMAA

apo kabla madhara ayajaanza kuonekana


kuna mdau ameomba niweke picha alivyokuwa kabla ndio hiyo sasa
 
Anaelekea kuwa marehemu muda si mrefu, eh mwenyezi MUNGU mrehemu,hatorudia tena kosa, amina!
 
ki ukweli inasikitisha.ndugu wasichoke kumsaidia
 
Poleni wanafamilia kwa mtihani mliopata
 
Inasikitisha bado wana nafac ya kumuokoa lkn
 
embu weka picha yake wakti bado model..........
 
Acha kutoa hukumu kwa kitu usichokijua..Lord Eyez kamkuta Ray c tayari ni mteja wa kutupwa..unga ndio uliowaunganisha.
 
Arudi akatambike kwenye kaburi la kiyeyeu
 
Madawa si mchezo.......... tunachukulia poa wauza unga

ni kuwapiga risasi tu za machoni
 
Mtandao wamauzo nimkubwa kiackwamba hatawaliopewa kuzuia uingizwaji
ndio mamember coz naniatamfunga paka kengele???
 
hizo picha ulikuwa unegeasha kagazeti udaku ndo unapiga picha zimetoka hovyooo...kuhusu ray-c kama ndo kweli yupo hivyo aende kwenye kituo cha ushayri wamsaidie, asione aibu....ujana ni maji ya moto sema tu hayakawii kupoa
 
hizo picha ulikuwa unegeasha kagazeti udaku ndo unapiga picha zimetoka hovyooo...kuhusu ray-c kama ndo kweli yupo hivyo aende kwenye kituo cha ushayri wamsaidie, asione aibu....ujana ni maji ya moto sema tu hayakawii kupoa

apa ukipost habari yoyote nyie wananch cha kwanza mnasema lete source yan chanzo cha habari,na source ikiwekwa mnalalama pia,viumbe wazito nyie,anyway walimpeleka hospital akafukuzwa sababu alikuwa anaendelea kutumia kisirisiri rafik zake walikuwa wanamletea
 
ahaha by the way pictures hazipo clear sana. Kwahiyo i cant say anything. Anaonekana kama amelala tu, zingeonekana vizuri ningesema something. By the way madawa sio inshu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…