Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
embu weka picha yake wakti bado model..........
Inasikitisha sana! Inna lilah wainah illaah rajiunah
hizo picha ulikuwa unegeasha kagazeti udaku ndo unapiga picha zimetoka hovyooo...kuhusu ray-c kama ndo kweli yupo hivyo aende kwenye kituo cha ushayri wamsaidie, asione aibu....ujana ni maji ya moto sema tu hayakawii kupoa
Mmmmh, dunia tambara bovu