Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,073
- 1,862
Jamani kiuno bila mfupa....., umekuwa hivi tena jamani!!!??? Poleee.
Amekuwa mfupa bila kiuno.Mungu amsaidie apone...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani kiuno bila mfupa....., umekuwa hivi tena jamani!!!??? Poleee.
God will make a way there seams to be no way, he walks on ways we can not see he will make a way, he will make a way (sang by Don Moen)
special dedication to Ray c!
bongo watu wasahaulifu sana!!!huyu mtoto kipindi anasoma F.K alichapika sana na wazee wa umeme na tetesi kama naye kakanyaga zilivuma!huu unga ni kijisababu tu ili mdudu ndo atakuwa anamtesa sana!.....mayanki wengi wa mjini wakishaikanyaga wanaingia katika unga!..........................AIDS KILLS
Inasikitisha sana! Inna lilah wainah illaah rajiunah
rais Kikwete alipelekewa majina ya wauzaji Unga hapa nchini lakini mpaka sasa kimyaaaaaaa.
asa sijui anasubiri kuunda tume au laa
Inasikitisha sana! Inna lilah wainah illaah rajiunah
Ila mnapenda kuchafua watu sana. Sikatai anakula sembe lakini hizi picha alikuwa kalala acheni kukuza mambo
asiye funzwa na mama yee....