Pre GE2025 Hizi ndizo sababu Watanzania hawatoshiriki maandamano ya CHADEMA

Pre GE2025 Hizi ndizo sababu Watanzania hawatoshiriki maandamano ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Nilipoona uliposema sio ccm Wala Nini, sijajisumbua kuendelea kusoma, maana nimejua hitimisho litakuwa Nini.
 
KWAKWELI CHADEMA WANAFELI SANA WANGEKUA NA NIA YA DHATI HUU WAKATI NDIO ULIKUA WA KUSUMBUA ZAIDI WATANZANIA WENGI NOW HAWANA MATUMAINI NA SERIKARI NA CHAMA TAWALA INGEKUA NI WAKATI WA CHADEMA KUUNGANA NA WANANCHI KUCHUKUA ILE NGUVU YA ATA KUYAFANYA WANAYOTAKA KUYAFANYA ILA NDIO IVO WAPO KWAAJILI YA PESA NA FAMILIA ZAO CHA AJABU NAWO NDIO WAMEKUA WANAIMANI NA SELIKALI KULIKO ATA SIYE WANANCHI SHAME
Mkuu unajisikiaje unapoandika kwa herufi kubwa tu, kisha ukawa huzingatii matumizi ya koma ama nukta?! Au ndio matokeo ya shule za kata?
 
KWAKWELI CHADEMA WANAFELI SANA WANGEKUA NA NIA YA DHATI HUU WAKATI NDIO ULIKUA WA KUSUMBUA ZAIDI WATANZANIA WENGI NOW HAWANA MATUMAINI NA SERIKARI NA CHAMA TAWALA INGEKUA NI WAKATI WA CHADEMA KUUNGANA NA WANANCHI KUCHUKUA ILE NGUVU YA ATA KUYAFANYA WANAYOTAKA KUYAFANYA ILA NDIO IVO WAPO KWAAJILI YA PESA NA FAMILIA ZAO CHA AJABU NAWO NDIO WAMEKUA WANAIMANI NA SELIKALI KULIKO ATA SIYE WANANCHI SHAME
Upo sahihi
 
Fanya yakuhusuyo, we nani?
Kaandamane uone, au nyie ndio wale ambao familia zenu ziko nje ya nchi na wakati wowote kikiwaka mnakimbilia ubalozini ili muende kwenu huko ughaibuni lakini mnawadanganya watoto wetu waingie barabarani. Mushindwe na mlegee.
 
Kaandamane uone, au nyie ndio wale ambao familia zenu ziko nje ya nchi na wakati wowote kikiwaka mnakimbilia ubalozini ili muende kwenu huko ughaibuni lakini mnawadanganya watoto wetu waingie barabarani. Mushindwe na mlegee.
Hivi wafikili jana ni leo,hii inchi sio ya baba yako ni ya watanzania wote nami nikiwa ni mtazania ni nchi yangu ,tukutane 24,pumbavu
 
Ni kweli hakuna mtanzania atakaye andamana ili akavujwe mguu kwa kwa masilahi ya Mbowe na Lissu
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Huo ndo ukweli cdm kimaekuwa chama cha kinafiki sana bora lisu sio mbowe ..yaani wanataka kututumia kama daraja iki wakalambe asali wajinga sana hawa jamaa
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Watanzania wote tuseme "hatuwezi kuwa ngazi au punda kwa viongozi wa chadema wenye ubinafsi wa kutengeneza njia zao za vipato kupitia sisi punda"
""TUMECHOKA KUSWAGWA KAMA NGOMBE KWA MASLAHI YA WATU WASIOZIDI 6 WANAOTAKA KUTUSWAGA KWA MASLAHI YAO ""
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Wewe ni mpumbavu na huelewi nini umeandika.
Unatakamukimya ilintiendelewa.
Muendeleze kuneemeka.!
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Leo umeongea point . Mm siwataki CDM wala CCM. Tuwe na vyama vipya. CCM wametuibia sana. Watoto wao waliofeli mitihani kama kina Makamba ndio viongoz. CDM pia imekopi system za CCM. Wakipata ubunge wanafurahi. Nilikuwa namuunga mkono Mwabukusi wa sauti ya watanzania lakin naona nae anaunga mkono upuuz wa CDM. Kwa sasa nimekaa pembeni . Hatuna vyama kabisa. Tuna wez tupu.
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Sikia, maisha bora au uongozi bora kote duniani uwekwa na wananchi wenyewe viongozi waliopo wao usikiliza wananchi wanataka nini, wananchi wakisinzia na viongozi usinzia, wewe mwenyewe ujitambui unataka wanaokuongoza wakulazimishe ujitambue? Hii haina tifauti na mwalimu na mwanafunzi wake, mwalimu awe mzuri vipi kama mwanafunzi hajitambui ni ndoto kwa huyo mwabafunzi kufaulu.
 
Ila ukweli umesemwa Nyinyi CHADEMA shughulikieni kwanza bei ya sukari, mafuta, bando acheni ubinafsi!!!!!
 
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24

Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.

Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano

Sukari ilivyopanda Chadema Kimya

Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya

Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...

Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.

Umeme na migao....Chadema kimya

Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe

Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?

Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?

Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?

Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.

Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Kwani ni Chadema pekee ndiyo wanaathirika na hayo madhila yanayoletwa na serikali ya CCM? Chadema wameamua kufuata njia yao na hawajawazuia wengine kulalamikia hayo unayolalamikia wewe.
 
Hili kosa wanalifanya kila siku. Hawajui chochote kuhusu siasa. Wamewekana tu ili wapige chenji.
 
Kama Chama kikuu Cha upinzani Tanzania CHADEMA kimefeli sana kuwapigania wananchi. Kuwatetea wananchi siyo mpaka uwe ikuru, Wasijidanganye Ile nguvu waliyoipoteza hawana tena na hawataipata tena.
We need another strong political party to fight the TANU and ASP.
 
Back
Top Bottom