NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Sitochoka kutokwa na povu na kushupaza mishipa ya shingo Tena kwa kujiamini kwa asilimia Mia kuwa Yanga itachukua kombe mbele ya mwarabu( USMA ALGER).
Mosi, ushindi wa Yanga (nje na ndani) Kila nikikumbuka azizi key alivyowalaza na viatu wale waarabu kule Tunia, na Yanga ilivyopata matokeo Nigeria na Nyumbani kwa Tp Mazembe Nina Kila sababu ya kuvimba kuwa Yanga atachukua kombe.
Pili, the big brain coacher (BBC) huyu namzungumzia Prof Nabi hakika ni mwamba kabisa akishirikiana na benchi lake la ufundi hakika Sina mashaka na mbinu zake za kumkabili mpinzani, kupitia Prof Nabi acha nivimbe nakushupaza shingo kuwa Yanga watachukua kombe.
Tatu, video analyst Kuna mwamba yupo pale yanga anachambua video yupo bize mno huyu mwamba wachambuzi wamemsahau hakika ni bonge la mwamba na Nina uhakika kabisa USM ALGER wameshachambuliwa na nondo kapewa Prof Nabbi amalize kazi.
Nne, Hamasa kubwa kutoka kwa viongozi wa serikali na viongozi wa timu kwa mashabiki, hakika kwa mkapa hapatatosha hatumwi mtu dukani
Mashabiki wa wydad wamehamia kwa mkapa hii itawapa morali wachezaji kuwafurahisa mashibiki, Nina Imani kubwa sana kuwa wachezaji hawatowaangusha mashabiki watakao jaa kwa mkapa.
Tano, uwepo wa wachezaji wenye uzoefu ndani ya kikosi Cha yanga.
Nikimtazama Bernad Morrison,Djuma shabani Aziz kii, Mayele Diara nk.
Hakika moyo wangu unafarijika sana nakuona kwamba Yanga kukosa kombe ni kujitakia tu.
Kila la heri Yanga na Kila la heri Mashabiki wa Yanga ndani ya East Africa.
Mosi, ushindi wa Yanga (nje na ndani) Kila nikikumbuka azizi key alivyowalaza na viatu wale waarabu kule Tunia, na Yanga ilivyopata matokeo Nigeria na Nyumbani kwa Tp Mazembe Nina Kila sababu ya kuvimba kuwa Yanga atachukua kombe.
Pili, the big brain coacher (BBC) huyu namzungumzia Prof Nabi hakika ni mwamba kabisa akishirikiana na benchi lake la ufundi hakika Sina mashaka na mbinu zake za kumkabili mpinzani, kupitia Prof Nabi acha nivimbe nakushupaza shingo kuwa Yanga watachukua kombe.
Tatu, video analyst Kuna mwamba yupo pale yanga anachambua video yupo bize mno huyu mwamba wachambuzi wamemsahau hakika ni bonge la mwamba na Nina uhakika kabisa USM ALGER wameshachambuliwa na nondo kapewa Prof Nabbi amalize kazi.
Nne, Hamasa kubwa kutoka kwa viongozi wa serikali na viongozi wa timu kwa mashabiki, hakika kwa mkapa hapatatosha hatumwi mtu dukani
Mashabiki wa wydad wamehamia kwa mkapa hii itawapa morali wachezaji kuwafurahisa mashibiki, Nina Imani kubwa sana kuwa wachezaji hawatowaangusha mashabiki watakao jaa kwa mkapa.
Tano, uwepo wa wachezaji wenye uzoefu ndani ya kikosi Cha yanga.
Nikimtazama Bernad Morrison,Djuma shabani Aziz kii, Mayele Diara nk.
Hakika moyo wangu unafarijika sana nakuona kwamba Yanga kukosa kombe ni kujitakia tu.
Kila la heri Yanga na Kila la heri Mashabiki wa Yanga ndani ya East Africa.