Hizi ndizo sababu zinazonifanya nishupaze mishipa ya shingo kuwa Yanga itachukua kombe mbele ya mwarabu (USM ALGER)

Hizi ndizo sababu zinazonifanya nishupaze mishipa ya shingo kuwa Yanga itachukua kombe mbele ya mwarabu (USM ALGER)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji41]
 
Jambo la kutia moyo ni kwamba, USM Alger wanafungika ugenini! Na wanajitahidi sana kujitutumua wakiwa kwao.

Hivyo Yanga wanatakiwa kuitumia vizuri mechi ya kesho kwa kupata ushindi mnono, ili kuwawekea hao wapinzani wao mlima mrefu wa kupanda kwenye mechi ya marudio.

Lakini pia ikumbukwe mwaka 2015 katika fainali kama hizi, walifungwa jumla ya magoli 4-1 na Tp Mazembe! Hivyo hawana maajabu kivile.

Imagine kwenye hatua ya makundi walishika nafasi ya 2 nyuma ya Marumo Gallants!! So Yanga washindwe wenyewe kuchukua huu ubingwa. Maana ukizilinganisha hizi timu mbili; hamasa kwenye timu ya Yanga iko juu kuliko hao USM Alger.
Njooo urudiee kusema tenaaaa
Afu uongezee sautiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jambo la kutia moyo ni kwamba, USM Alger wanafungika ugenini! Na wanajitahidi sana kujitutumua wakiwa kwao.

Hivyo Yanga wanatakiwa kuitumia vizuri mechi ya kesho kwa kupata ushindi mnono, ili kuwawekea hao wapinzani wao mlima mrefu wa kupanda kwenye mechi ya marudio.

Lakini pia ikumbukwe mwaka 2015 katika fainali kama hizi, walifungwa jumla ya magoli 4-1 na Tp Mazembe! Hivyo hawana maajabu kivile.

Imagine kwenye hatua ya makundi walishika nafasi ya 2 nyuma ya Marumo Gallants!! So Yanga washindwe wenyewe kuchukua huu ubingwa. Maana ukizilinganisha hizi timu mbili; hamasa kwenye timu ya Yanga iko juu kuliko hao USM Alger.
Hata sisi tumeona hao jamaa hawana maajabu yoyote wanategemea tu uwanja wa nyumbani
 
Jambo la kutia moyo ni kwamba, USM Alger wanafungika ugenini! Na wanajitahidi sana kujitutumua wakiwa kwao.

Hivyo Yanga wanatakiwa kuitumia vizuri mechi ya kesho kwa kupata ushindi mnono, ili kuwawekea hao wapinzani wao mlima mrefu wa kupanda kwenye mechi ya marudio.

Lakini pia ikumbukwe mwaka 2015 katika fainali kama hizi, walifungwa jumla ya magoli 4-1 na Tp Mazembe! Hivyo hawana maajabu kivile.

Imagine kwenye hatua ya makundi walishika nafasi ya 2 nyuma ya Marumo Gallants!! So Yanga washindwe wenyewe kuchukua huu ubingwa. Maana ukizilinganisha hizi timu mbili; hamasa kwenye timu ya Yanga iko juu kuliko hao USM Alger.
Hizi dharau ndio ziliwaangusha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom