Hizi ndo dharau ambazo hatupendi Wanasimba: Mo Dewji kaaa mbali na picha za Zimbwe

Hizi ndo dharau ambazo hatupendi Wanasimba: Mo Dewji kaaa mbali na picha za Zimbwe

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nilijua tu mwisho wa yote watajinasibu kwamba wao ndiyo wamefanikisha sasa ikitokea Mo kapiga naye huyo kijana wao niseme boss wao anayewapa hela yaani Mohamed Hussein Zimbwe Junior captain msaidizi aliyeamua yeye na wapambe wake kutumia vurugu na lugha za maudhi ili kuongezewa mkataba.

Please boss Mo mojawapo ya madai yao ilikuwa ni wewe kutokumuita ofisini kwako kunywa naye chai na kupiga naye picha, USIFANYE HIVYO UKIFANYA TU UTAONA TENA CAPTIONS KAMA HIZI.

Cha kushangaza john boko kaongezewa mkataba bila makelele wala vurugu na meneja wa John Boko ndiye anayemsimamia manula, Kapombe na Gadiel Michael yaani anasimamia wachezaji wa 4 wa muhimu bila mavurugu waala matusi kwa klabu ila zimbwe kaamua kuamrisha ATTACKING DOGS wake kumtukana CEO na team yetu.

dharau.JPG


ANGALIA HUYU MENEJA WA CHAMA HATA KWENYE PAGE YAKE ULINGANISHE NA MA MENEJA KAMA HERRY MZOZO? LORD HAVE MERCY halafu mtu anashangaa hasikii vurugu za mikataba ya chama na simba kumbe wasimamizi ni watu wenye akili timamu siyo masela mavi wa manzese


camara ibrahim.JPG
 
Mbumbumbu punguzeni mihemko hao akina Mohamed Hussein &Co wenzenu wanafanya biashara. Siku hizi hakuna mchezaji mzalendo zaidi dau mezani
 
Mbumbumbu punguzeni mihemko hao akina Mohamed Hussein &Co wenzenu wanafanya biashara. Siku hizi hakuna mchezaji mzalendo zaidi dau mezani
Mo akae mbali na picha za huyo kijana siku akipiga naye tu utaona posts kama hii kushangilia ushindi wa kumfanya Mo kupiga picha na zimbwe
Hakuna anayetaka uzalendo ila hatutaki dharau za kingese teams ziko nyingi hata luhende anaweza cheza hiyo namba tatu
 
Zarau wanazo mbumbumbu fc kuwafanya wachezaji wazawa hawana thamani kushobokea wageni alafu CEO alivyokua na maneno ya shombo anasema Kwasasa Wana focus kwenye klab bingwa Afrika sio Mambo madogo madogo.

Yaani mikataba inayo elekea ukingon tena ya wachezaji waandamiz anaona sio vitu vya ku solve kwa Sasa. Yaani CEO ameonyesha anachoweza ni kupiga picha na watu maarufu na kupaka Lipstick Mambo ya mikataba ya wachezaji ni vitu vidogo!!!
 
Zarau wanazo mbumbumbu fc kuwafanya wachezaji wazawa hawana thamani kushobokea wageni alafu CEO alivyokua na maneno ya shombo anasema Kwasasa Wana focus kwenye klab bingwa Afrika sio Mambo madogo madogo...
walisha sign pre contract yanga sasa ushapata team isiyo na dharau na mshiko mkubwa cha kukubakiza kwenye dharau ni nini?AU WAMEPEWA HELA YA KUUZA MECHI TAREHE 8 ?TUNASHUKURU POST YA SHAFIH DAUDA TUTAWAANGALIA KWA MAKINI SIKU HIYO
DAUDAAAA.JPG
 
Back
Top Bottom