Hizi ndo perfume original ukiachana na zile za Kariakoo

Maisha bora kwa kila Mtanzania hukohuko k/koo na tunanukia vizuri.

Perfume ni taste yako tu, japo ni kweli original ni bora zaidi.
Hakika ila hizi bidhaa zimelenga high class maana bei ni yamoto mno hapo kkoo unarud na mabox ya perfume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…