Mshaanza utabiri wa nyota. Daaah dunia hii [emoji23][emoji23]Hizi ndo timu zilizofuzu hatua ya makundi kiukweli kabisa navozijua hizi klabu kwa uwezo wao uwanjani sioni kama Simba kuna kutoboa hapo. Anayeonekana underdog ni Simba tu View attachment 1670282
SawaHizi ndo timu zilizofuzu hatua ya makundi kiukweli kabisa navozijua hizi klabu kwa uwezo wao uwanjani sioni kama Simba kuna kutoboa hapo. Anayeonekana underdog ni Simba tu View attachment 1670282
Nyie ni wanga tushawazoea.Hizi ndo timu zilizofuzu hatua ya makundi kiukweli kabisa navozijua hizi klabu kwa uwezo wao uwanjani sioni kama Simba kuna kutoboa hapo. Anayeonekana underdog ni Simba tu View attachment 1670282
Lengo ilikuwa ni makundi hayo mengine majaaliwaHizi ndo timu zilizofuzu hatua ya makundi kiukweli kabisa navozijua hizi klabu kwa uwezo wao uwanjani sioni kama Simba kuna kutoboa hapo. Anayeonekana underdog ni Simba tu View attachment 1670282
Hizi lugha zilianza raundi ya awali, Simba akatoboa, zikafuata raundi ya kwanza, Simba ametoboa, na zimekimbila mapema kwenye makundi. Endelea na hizo lugha, kumbuka Simba alishika namba mbili kwenye kundi, AS Vita akashika mkia, ni mwaka juzi tu.... hizi klabu kwa uwezo wao uwanjani sioni kama Simba kuna kutoboa hapo