Salaam ,shalom!!
Mara nyingi umewahi kuota ndoto na unapoamka huikumbuki, na Hali hiyo inakupa huzuni na Kupata shauku ya kutaka kukumbuka usiweze.
Usilolijua, Ufalme wa Nuru na WA Giza, falme hizi zinaweza kuleta na kufuta ndoto nafsini mwako Kwa sababu mbalimbali. Na ndoto Si igizo au simulizi, ni tukio halisi NAFSI / Roho Yako inaona katika Ulimwengu wa Roho.
Hali hiyo hiyo ilimkuta mfalme mbabe Nebukadreza, ( Daniel 2:1-49). Mfalme aliota ndoto na akaisahau, kumbuka hapo alikuwa amewachukua pallace waisrael Daniel, Meshach, Abednego na Shadrack, sasa alipoisahau ndoto akatoa amri Waganga na waisrael wenye BUSARA na HEKIMA wauwawe ikiwa watashinda kumwambia aliota ni I usiku na tafsiri ya ndoto ni nini!!, hapo utajua nani alimwotesha na kufuta ndoto kichwani mwa mfalme na sababu, ni Ufalme wa Nuru au Giza.
Daniel kuona Hali hiyo ya hatari, akaomba Ruksa aende kumuuliza Mungu ambaye Hana kikao pamoja na wenye mwili( Waganga na wasoma nyota) ambaye Mungu huyo, wa Israel, wa Daniel ana uwezo kujua nini mtu aliota Jana na kusahau.
Ndoto ilikuwa hivi, Mfalme Nebukadreza aliona sanamu kubwa mno ya kutisha,
1. KICHWA Cha sanamu hiyo kilikuwa DHAHABU safi.
2. Kifua na mikono ni FEDHA.
3. Tumbo na viuno ni vya SHABA .
4. Miguu yake ni NUSU CHUMA NUSU UDONGO.
Daniel akampa Tafsiri ya sanamu hiyo kuwa Dhahabu ndiyo ufalme wa Nebukadreza, ufalme wake ukiweza kutawala Dunia nzima na yote ilimtii na kushikamana.
Mfalme baada ya Kupata tafsiri ya ndoto na kujua kuwa ufalme wake ni Dhahabu, yaani Imara, kesho yake akaagiza ichongwe sanamu ya DHAHABU tupu,na kuiweka na kuamrisha watu wote wakusanyike kuiabudu. Nadhani Hadi hapo, utakuwa umejua Nia ya ndoto Ile kufutwa, na nani Hasa aliifuta na ni Kwa sababu Gani.
Kwa ambao hawajaelewa Bado, tuendelee....
SABABU ZA KUOTA NDOTO NA KUZISAHAU.
1. KWA USALAMA NA AFYA YA AKILI YAKO
Kwa kuwa ndoto ni HALISI, vipo viumbe vya kiroho ukiviona na uvikumbuke, unaweza kufariki muda mfupi ujao Kwa HOFU na mawazo ndio sababu zinaondolewa kichwani mwako Ili uwe salama.
Ukifanikiwa kuiona siku ya kufa kwako ndotoni, au uione siku ya kuondolewa na uwapendao, kumbukumbu hizo Si njema, na kifo ni Fumbo, so ukiyaona hayo katika Ulimwengu wa Roho, Mungu huzifuta Ili uendelee kuwa na Amani na maisha yaendelee.
2. KUKUEPUSHA NA KOSA LINALOWEZA KUKULETEA ADHABU MBELE
Mfalme asingekumbuka ndoto, asingeamua kuchonga sanamu Ili aabudiwe na kumkosea Mungu. Hapo unaweza jua kwanini ndoto yake ilifutwa kichwani mwake. Likewise wewe nawe zipo ndoto Mungu au Ibilisi huzifuta kichwani mwako usizikimbuke Kwa sababu na Nia na makusudi Yao Kwa faida zao.
3. NDOTO ZINGINE HAZINA UMUHIMU WOWOTE
Ndoto ambazo hutokana na shughuli za Kila siku mchana, ambazo ni marudio ya uliyoyafanya mchana, hazina umuhimu wowote ndio maana nyingi huja na kuondoka na huzikumbuki na hazina impact yoyote.
4. KUKUWEKA HATARINI ILI USICHUKUE HATUA, UANGAMIE
Mungu akikuletea taarifa kupitia ndoto kuhusu Ajali uliyopangiwa na maadui zako ambayo ingetokea kesho baada ya usiku wa NDOTO, ufalme wa Giza wakifanikiwa kukuibia ndoto hiyo usikumbuke, Nia ni uache kuahirisha safari Ili UANGAMIE. Ambapo Mungu alipanga kukujulisha uahirishe Ili usiangamie.
JE, INAWEZEKANA KUOMBA KISHA UKARUDISHIWA NDOTO ULIZOOTA ZENYE MAANA, ZILIZOONDOLEWA NA ADUI ILI KUKUANGAMIZA?
Hilo linawezekana, na WA kukusaidia ni Mungu pekee ukimwomba, shetani hawezi kujua mtu aliota nini Jana, Mungu anaweza kukurudishia ndoto Ili ujue taarifa zilizoko ndani ya ndoto na hatua za kuchukua haraka kurekebisha situation mbaya.
Ukimwomba Mungu aweza yote.
Mungu awabariki.
Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii,
EE, MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Karibuni 🙏
Mara nyingi umewahi kuota ndoto na unapoamka huikumbuki, na Hali hiyo inakupa huzuni na Kupata shauku ya kutaka kukumbuka usiweze.
Usilolijua, Ufalme wa Nuru na WA Giza, falme hizi zinaweza kuleta na kufuta ndoto nafsini mwako Kwa sababu mbalimbali. Na ndoto Si igizo au simulizi, ni tukio halisi NAFSI / Roho Yako inaona katika Ulimwengu wa Roho.
Hali hiyo hiyo ilimkuta mfalme mbabe Nebukadreza, ( Daniel 2:1-49). Mfalme aliota ndoto na akaisahau, kumbuka hapo alikuwa amewachukua pallace waisrael Daniel, Meshach, Abednego na Shadrack, sasa alipoisahau ndoto akatoa amri Waganga na waisrael wenye BUSARA na HEKIMA wauwawe ikiwa watashinda kumwambia aliota ni I usiku na tafsiri ya ndoto ni nini!!, hapo utajua nani alimwotesha na kufuta ndoto kichwani mwa mfalme na sababu, ni Ufalme wa Nuru au Giza.
Daniel kuona Hali hiyo ya hatari, akaomba Ruksa aende kumuuliza Mungu ambaye Hana kikao pamoja na wenye mwili( Waganga na wasoma nyota) ambaye Mungu huyo, wa Israel, wa Daniel ana uwezo kujua nini mtu aliota Jana na kusahau.
Ndoto ilikuwa hivi, Mfalme Nebukadreza aliona sanamu kubwa mno ya kutisha,
1. KICHWA Cha sanamu hiyo kilikuwa DHAHABU safi.
2. Kifua na mikono ni FEDHA.
3. Tumbo na viuno ni vya SHABA .
4. Miguu yake ni NUSU CHUMA NUSU UDONGO.
Daniel akampa Tafsiri ya sanamu hiyo kuwa Dhahabu ndiyo ufalme wa Nebukadreza, ufalme wake ukiweza kutawala Dunia nzima na yote ilimtii na kushikamana.
Mfalme baada ya Kupata tafsiri ya ndoto na kujua kuwa ufalme wake ni Dhahabu, yaani Imara, kesho yake akaagiza ichongwe sanamu ya DHAHABU tupu,na kuiweka na kuamrisha watu wote wakusanyike kuiabudu. Nadhani Hadi hapo, utakuwa umejua Nia ya ndoto Ile kufutwa, na nani Hasa aliifuta na ni Kwa sababu Gani.
Kwa ambao hawajaelewa Bado, tuendelee....
SABABU ZA KUOTA NDOTO NA KUZISAHAU.
1. KWA USALAMA NA AFYA YA AKILI YAKO
Kwa kuwa ndoto ni HALISI, vipo viumbe vya kiroho ukiviona na uvikumbuke, unaweza kufariki muda mfupi ujao Kwa HOFU na mawazo ndio sababu zinaondolewa kichwani mwako Ili uwe salama.
Ukifanikiwa kuiona siku ya kufa kwako ndotoni, au uione siku ya kuondolewa na uwapendao, kumbukumbu hizo Si njema, na kifo ni Fumbo, so ukiyaona hayo katika Ulimwengu wa Roho, Mungu huzifuta Ili uendelee kuwa na Amani na maisha yaendelee.
2. KUKUEPUSHA NA KOSA LINALOWEZA KUKULETEA ADHABU MBELE
Mfalme asingekumbuka ndoto, asingeamua kuchonga sanamu Ili aabudiwe na kumkosea Mungu. Hapo unaweza jua kwanini ndoto yake ilifutwa kichwani mwake. Likewise wewe nawe zipo ndoto Mungu au Ibilisi huzifuta kichwani mwako usizikimbuke Kwa sababu na Nia na makusudi Yao Kwa faida zao.
3. NDOTO ZINGINE HAZINA UMUHIMU WOWOTE
Ndoto ambazo hutokana na shughuli za Kila siku mchana, ambazo ni marudio ya uliyoyafanya mchana, hazina umuhimu wowote ndio maana nyingi huja na kuondoka na huzikumbuki na hazina impact yoyote.
4. KUKUWEKA HATARINI ILI USICHUKUE HATUA, UANGAMIE
Mungu akikuletea taarifa kupitia ndoto kuhusu Ajali uliyopangiwa na maadui zako ambayo ingetokea kesho baada ya usiku wa NDOTO, ufalme wa Giza wakifanikiwa kukuibia ndoto hiyo usikumbuke, Nia ni uache kuahirisha safari Ili UANGAMIE. Ambapo Mungu alipanga kukujulisha uahirishe Ili usiangamie.
JE, INAWEZEKANA KUOMBA KISHA UKARUDISHIWA NDOTO ULIZOOTA ZENYE MAANA, ZILIZOONDOLEWA NA ADUI ILI KUKUANGAMIZA?
Hilo linawezekana, na WA kukusaidia ni Mungu pekee ukimwomba, shetani hawezi kujua mtu aliota nini Jana, Mungu anaweza kukurudishia ndoto Ili ujue taarifa zilizoko ndani ya ndoto na hatua za kuchukua haraka kurekebisha situation mbaya.
Ukimwomba Mungu aweza yote.
Mungu awabariki.
Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii,
EE, MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Karibuni 🙏