Hizi ni behewa mpya za SGR? Naona zipo zinapiga kazi

Hizi ni behewa mpya za SGR? Naona zipo zinapiga kazi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Picha za mabehewa mapya yakioonekana njiani yanapiga mzigo je, ndio yale mapya


USSR
IMG-20221130-WA0011.jpg
IMG-20221130-WA0012.jpg
IMG-20221130-WA0010.jpg
 
Hayo sio... angalia milango na madirisha... ukifanya rejea ya yale mawili ya sample...

Labda kama haya ni miongoni ambayo yatafanya kazi ktk reli ya zamani
 
Yameanza kw aSGR au reli ya mkoloni ya kawaida
 
Inasikitisha Sana ,Huku bil 7.2 mara huku 26m $ aiseeee hatari sana.
 
Onjeshaonjesha itakuwa lini nipige trip Moro - Dar nishuhudie utukufu wa Dr. Samia
 
Kwahiyo yanaingiliana na reli ya zamani
 
Kwahiyo sio ya umeme?
Hiyo reli si pale chini baada ya raundi abouti kuelekea njia kuu ya upigaji?

Wameshaweka zile waya tayari?
 
Onjeshaonjesha itakuwa lini nipige trip Moro - Dar nishuhudie utukufu wa Dr. Samia
Mradi kauanzisha Magufuli, sifa zinamuendea Samia!

Lakini wenye kumbukumbu hatushangai! Maana hata enzi za Magufuli; pia alipambwa kwa sifa kedekede pale alipozindua miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake. Kwa hiyo kutesa kwa zamu.
 
Mradi kauanzisha Magufuli, sifa zinamuendea Samia!

Lakini wenye kumbukumbu hatushangai! Maana hata enzi za Magufuli; pia alipambwa kwa sifa kedekede pale alipozindua miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake. Kwa hiyo kutesa kwa zamu.
Wamesema yule tumwache apomzike si busara kumtajataja
 
Back
Top Bottom