Watayanyea tu na kuchana viti
Feni wataiba ingawa naona ndani kuna mpaka camera ingawa hazitasidia lolote maana sura ya mtu akiiba ikiwa Moro akaenda Kigoma ndio hamumjui tena
Wengi hawana hata vitambulisho bado
Wameyatukana mabehewa ila subiri mwezi tu utaona uchakavu wake ndani