Hizi ni dalili za maradhi yapi?



Huo ni ujauzito…..ushanasa tayari, hauna ujanja tena. Mwanao muite "Si Kosa Langu,' 'Bahati Mbaya,'Tulaumiwe Sote.'
 
Anza kuandaa magauni mapana mkuu, ila hongera kwa kuupata utamu
 
Hormones tu. Mimba bado haiwezi kuonekana sasa hivi hadi umiss next period au siku chache sana kabla ya next period.
 
Kwa hio UPT huwez kubaini mimba until ifike 2week since ume conceive..kwaio subir ad ile siku ulokua unatarajia kuingia Tena if haijaja Apo ukipima majibu yatakuja fasta.
Kama Hana baba nambie Kuna mtu anashida na mtoto hata wa kubambikiwa mind you mtaandikiehiana kua yeye ndo baba na atakuhudumia fro. A2Z
 
Tuliza akili wenge ndio linakusumbua ndio mana unachelewa kuona hizo cku zako
 
Tuliza akili wenge ndio linakusumbua ndio mana unachelewa kuona hizo cku zako
Sipaswi kupata mzunguko kwa sasa lakini napata dalili zote kama maziwa kuvimba na kuuma ndio maana nimekuja kuuliza humu.
 
Kwa hiyo inaweza ikawa na hormones tu but pia isiwe mimba si ndio?

Exactly. Unahisi dalili zote za mimba ila hamna kitu. Subiri tarehe tu au close to tarehe ya mp inayofuata ndo upime hapo autapata accurate results
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…