Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
1.Huanza kujikita kwenye dini.
2.Kujiweka karibu na washikaji.
3.Kupunguza kujidai (kujiona)
4.Kuongea vizuri na watu
5.Kutumia usafiri wa kawaida
6.Kuimba kama anaanza muziki
7.Kuwaponda wasanii wakubwa
8.Kujistukia,kujihisi.
9.Kuhisi anatengwa
10.Kusahau matusi ya nyuma.
11.Kuwa mwnye mawazo.
+zingine mnisaidie
2.Kujiweka karibu na washikaji.
3.Kupunguza kujidai (kujiona)
4.Kuongea vizuri na watu
5.Kutumia usafiri wa kawaida
6.Kuimba kama anaanza muziki
7.Kuwaponda wasanii wakubwa
8.Kujistukia,kujihisi.
9.Kuhisi anatengwa
10.Kusahau matusi ya nyuma.
11.Kuwa mwnye mawazo.
+zingine mnisaidie