bank Senior Member Joined Jan 9, 2011 Posts 158 Reaction score 24 Feb 27, 2017 #41 Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... Asante kwa mrejesho. si mchezo,kweli ni ya zamani ila nimejifunza hizo dalili kumbe sio lazima ziwe za jinsia fulani
Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... Asante kwa mrejesho. si mchezo,kweli ni ya zamani ila nimejifunza hizo dalili kumbe sio lazima ziwe za jinsia fulani
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,032 Reaction score 18,540 Jul 5, 2017 #42 Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... Ha ha ha a Warembo wanaongezeka
Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... Ha ha ha a Warembo wanaongezeka
enjai ya kyasha JF-Expert Member Joined Apr 6, 2017 Posts 3,089 Reaction score 3,634 Jul 5, 2017 #43 Nenda Bagamoyo nasikia ni wapiga ramli wazuri nna imani watakusaidia.
slimdaddy JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 531 Reaction score 481 Jul 5, 2017 #44 ana mimba yako au anadai ana mimba yako mana uhakik ni mdogo unawez bondewa n dege miaka hii
SK2016 JF-Expert Member Joined Apr 6, 2017 Posts 8,016 Reaction score 13,780 Jul 5, 2017 #45 Mazoea huzaa tabia. Udhaifu wako hapo, ndipo atapopata upenyo wa kukutawala kifikra.
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 May 18, 2018 #46 Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... ulichukia kupata wa kike?
Aadilu said: H Ha! Ni wa kike na ameshaanza shule! Yaani mpaka nilisahau km nilileta hii thread Click to expand... ulichukia kupata wa kike?