Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,328
Habari wadau? Naomba msaada hapa: Nina tatizo kwamba sehemu ya kushoto ya kifua (sehemu ya moyo) Kuna wakati nahisi inakuwa nzito sana halafu wakati mwingine inakuwa kama inawaka moto hivi ( inachemka). Hii ni dalili ya nini? Na sometimes naweza kushutuka tu ghafla. Msaada tafadhali wandugu? Asanteni