PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Duh!!!Mkuu usisumbuke Ofisini Kwetu Tunayo Masanduku Mpaka ya Tsh. 50,000/=
Kama ukitaka ya 500,000/= pia tunayo..
RIP mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!!Mkuu usisumbuke Ofisini Kwetu Tunayo Masanduku Mpaka ya Tsh. 50,000/=
Kama ukitaka ya 500,000/= pia tunayo..
RIP mkuu.
Huyo binti vp bado uko nae?
Unaposema ulithibitisha kwa macho unamaanisha nini?kwamba ulienda naye kwenye vipimo.Hamna, niliachana naye baada ya kuthibitisha kwa macho yangu kuwa yupo hivo.
mh utakua hujatumia kondom wwMkuu nilipiga na Kondomu bao 2 tu.... Ila tangu kuambiwa demu ana Ngoma Nina was was sanaaa
Story yako inafanana na yangu asee huu mwaka ulikuwa mbaya sana kwangu tangu January but ni jambo la kumshukuru Muumba kwa kunipa ujasiri wa kupambana na stress, stress zinaua husipoangaliaMkuu ushauri wangu relax me nimekuwa Na shida kama yako muda mrefu nimekuwa nikienda Hosp sana tangu 2013 nilikuwa najihisi labda Nina HIV maana kila nikijaribu angalia njia zangu nikawa nakosa Amani kabisa ayo yote unayeleza nimepitia aseh ilifika point nikaenda Fanya operation ya tonsils lakini kipindi chote hiki sikuwahi pima HIV juzi nikasema liwalo Na liwe nikaenda pima hakuna sikuaminj nimepima sehemu nne tofauti hakuna na Sasa hivi najipima mwenyewe mara kwa mara hakuna kitu Ila nilichokuja gundua hayo mabadiliko yalianza bada ya kupata janga kubwa sana kwenye maisha yangu tangu apo afya yangu ikawa haieleweki kabisa ni kuumwa tu mara uchovu Yan balaaa Ila stress ni ugonjwa mbaya sana chunga mkuu mimi maada za humu ndo zilikuwa zinanifanya niziidi umwa aseh nilikuwa nikisoma mada humu ya ukimwi Na jinsi najisikia nasema kabisa hapa nimeumia la hasha nimejjitesa sana baada ya kupima nimekuwa Na Amani magonjwa sio tena sehemu ya mwili wangu
Kuanzia sasa nikipata tonsils ntakua nakonda😱😱😱
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,alisema ana tonsils😂😂😂😂...umenichekesha 😂😂
ila hii post ya mleta mada sijui niseme imeniokoa au imeninyima utamu hata sijui
maana kuna mtu nimemzuia kuja nyumban usiku huu baada ya kusoma hapa.... nimemwambia "sory nimepata emergency ntakuchek kesho"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,alisema ana tonsils
Ikipita mwezi tu ushasahau unaenda na kununua😂😂😂hajasema 😂😂😂😂😂
ila tu hii post imenikata mood ya wiki nzima yani nimejikuta nataka kukaa alone nikifikiria upya mienendo yangu 😂😂😂
Ikipita mwezi tu ushasahau unaenda na kununua😂😂😂