Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Pia faida nyingine ni kuwa mjinga.
 
Ni kumchukua aziz ki na kumshusha kiwango!
 
Hasara kubwa ya most single nikua hakuna mpangilio wa mambo kaunzia nyumbani mpk maisha yako,ukianza kua mpangaji kuanzia kitanda chako,mazingira ya ndani kwako utafanya the same hatakwenye kutafuta,wengi wanakua rough home nakufikiria utakua the same mpk kwenye mambo ya maendeleo,impossible
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…