Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hata kama, hakikisha hauwi singo.Maisha magumu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama, hakikisha hauwi singo.Maisha magumu mkuu
Yani nitamfua bila hata ya sabun.Sio uchafu tuu pia ni uchawi live live
Unasemaaa!Nimekua mhanga wa kupigwa matukio imefika muda naona ni kheri kukaa peke yangu. Ila usingo sio kitu kizuri kabisa.
Bidhaa zipo ila anaweza asifike beiWakati Tegeta Kibo Complex wamejaa wauzaji kibao sabuni ya nini?
Utachangia sana pato la taifa kwa matumizi makubwa sana ya sabuni.
Mii mtu mchafu mchafu ghetto langu huwa mwenyewe anajistukia..Yani nitamfua bila hata ya sabun.
Hapa ni mimi kabisa kwanza hata nikitaka kwenda kulala, miguu hata kama ina vumbi napanda kitandani hivyohivyo._Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
Daaah we kumbe jauHapa ni mimi kabisa kwanza hata nikitaka kwenda kulala, miguu hata kama ina vumbi napanda kitandani hivyohivyo.
Umeongea juu juu ila kuna content kubwa sana hapa mkuu...Faida nyingine unakua na amani ya Moyo kwani Ukiangalia kiundani zaidi, Mapenzi ni vita kubwa sana inayorarua mioyo ya watu wengi
😂sijawahi kujuta kuwa singleFaida ya kua single ni, kuonea wivu wengine walioko kwenye penzi moto moto,hadi ukiwaona road unaropoka mtaachana tu.
Huu ni uchafu na sio afya, ndoo unayofulia, kuogea, kudekia n.k haipaswi kutumika kuwekea maji ya kunywa au kuhusika na maswala ya jikoni ni uchafu.
Kabla ya kupiga hakikisha mgeni wako ulishampa maelekezo ya matumiz ya ndoo zako.Alafu anatokea kachanganya ndoo ya chooni na maji ya kunywa..
Huyo napiga na nampanda kabisa
hausi gelo tena duh sijafikia level hiyoMa house girl wenu wanatumia vyombo vya Chooni jikoni na wala hamjui, Pumba Kabisa, ukiwa umechoka unarahisisha Maisha tu
Mtu na heshima zako...😂sijawahi kujuta kuwa single
Nimesema usingo sio kitu kizuri.Unasemaaa!
mbona pale ni mistari 7 hapa 1.Nimesema usingo sio kitu kizuri.
Ndo inakuaga hvo na mi mgeni akija haya mazingira tuu mwenyewe atatii amri mi huwa sichekeshi mkuu likija suala la usafi 😂😂😂😂Kabla ya kupiga hakikisha mgeni wako ulishampa maelekezo ya matumiz ya ndoo zako.