To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Zimekaa kinoko kweliMi nipo singo kwasababu moja tu meseji za kuulizana umelalaje, umeamkaje, umekula?, umelala? Sizipendi kichizi yan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimekaa kinoko kweliMi nipo singo kwasababu moja tu meseji za kuulizana umelalaje, umeamkaje, umekula?, umelala? Sizipendi kichizi yan
Inategemea na umechukua aina gani ya Paka unaeamua kumfuga maana kuna mipaka mingine ya baa sasa ukiokotaokota lipaka tu huko majiani ukaamua kuishi nalo lazima akili ikurudiHapana mkuu.....matumizi yanakuwa makubwa....since spending zake zote zinakuja zako
Emotional instability as in Hasira hasira na makasiriko yasoishaFaida zipo nyingi tu,
-upweke
-umalaya
-kupiga mkono
-kula unhealthy food
-kujizira kwa maana unaweza kuwa mchafu tu na usijali.
Ongezea..
Usiulizwe kwanini? Mimi ukitaka unitibue tupo kwenye mahusiano halafu unaniletea habari za ma X wako nakuhesabia siku tuZimekaa kinoko kweli
sijapingana nawewe ila hata akifanya house girl haihalalishi kuwa ni sahihi kufanya hivyo.Ujielewi, ndo Tatizo lako, kwani House girl ni wa kazi gani? Si kukulelea watoto au?
Wee huogopi kumuita huyu..Mshangazi BICHWA KOMWE -
Bandiko zuri_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.
Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659
Wapo kuna watu kula yao tu ngumu ndio akanunue pisi?Kwa hio unasema jamaa 4000 hatofika bei? 4000 imshinde?
Ukiwa unaombwa ombwa sana kibunda chako hii inakua kwa kiwango cha juu sana just imagine una 10k ni mfano una 10k halafu linatokea toto la mtu ambalo sio yatima wala wazazi wake sio walemavu libaitaka hio 10k tena kwa lazima km lilikukopesha au lilikupa vile, hapo emotional instability lazima iongezeke na ukichaa upande kwa kasi ya ajabuEmotional instability as in Hasira hasira na makasiriko yasoisha
Lakini unokoa matumiziKuwa single usiombe wazee nipo single mwaka wa 6 huu hakuna faina yoyote zaidi ya stress tu,chuki na kukosa kujiamini.
Saikolojia inasema ni heri uwe na penzi lenye migogoro kulikk kuwa single kabisa stress zake ni mbaya.
Ukiwa single matumizi ni makubwa kuliko ukiwa unaishi na mtuLakini unokoa matumizi
Huyo kabweteka tu mwenyewe karidhika na maishaWapo kuna watu kula yao tu ngumu ndio akanunue pisi?
sijapingana nawewe ila hata akifanya house girl haihalalishi kuwa ni sahihi kufanya hivyo.
Sawa. Wewe utakuwa na 20%Mkuu... huwezi kuwa msafi 100%