Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

Hizi ni faida 10 za kuwa Single ongezea zako

_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.

Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659
-Unakuwa na uhuru wa kupiga mkunyeto muda wowote tena kwa kubandika mapicha ya mastaa wa kike ukutani unakuwa unapigia nyeto bila kuhofia kuuliza na mtu
 
Mi nipo singo kwasababu moja tu meseji za kuulizana umelalaje, umeamkaje, umekula?, umelala? Sizipendi kichizi yan
Ile ushi vipi? Jibu niko hospitali baba amelazwa, uraulizwa kwahiyo?, yaani baba yako kuumwa yeye haimhusu duuu

Hilo neno la kwahiyo? Silipendi kuliskia, yeye kumbe anawaza kukudownload tu!
 
Faifa nyingine ni kuwa unaweza kufuga nywele kwapani kifuani pamoja na sehemu za chini ili ukijiita rasta farian uwe unaanisha kweli kweli.
Hai make sense kuacha rasta kichwani huku ktk maeneo mengine ya mwili umepiga rasta halafu unajiita Rastafari, ni unafiki.
Hii mbaya mkuu
 
_Pesa zako unazotafuta ukipata unakula pekeako without mizinga
_Ata ukidondosha hela ukirudi unaikutaa
_Hutoi neti kila siku
Ukichoka huogi
_Ndoo ya maji ya kunywa ukiamua unaogea
_Kujifuta Maji na pazia baada ya kuoga
_Free kuwa na kitambi, hakuna wa kukwamba upunguze tumbo.

Ongezea naww .....wale Mashabiki wa Simba mtuache kidogo kimbieni kama kasongo ( nguruwe pori)View attachment 3146659

You have made my day
 
Yaani pesa sina hata kuishi na mwanamke nishindwe hapana kwa kweli ,
ubaya wa ubachela pesa zinaishia kwenye pombe kwenda club kila weekend ,kutafuta malaya, betting, upweke uliokithiri, uchafu ,kula vyakula ya viwandani mkate maandazi na juisi, matatizo ya afya ya akili, kupiga punyeto kuliko kithiri, unywaji wa pombe kali konyagi visungura etc
 
Back
Top Bottom