Hizi ni ‘ faida ‘ zangu ‘ Kuntu ‘ kabisa za ujio wa Mifuko Mbadala nchini Tanzania

Hizi ni ‘ faida ‘ zangu ‘ Kuntu ‘ kabisa za ujio wa Mifuko Mbadala nchini Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuanzia sasa nitakuwa hata nikibeba Chips Waroho ( Wazee wa Kudoea ) hawatoona ndani
Kuanzia sasa hata nikiwa nabeba Bangi / Bange au Unga wa Kulevya ‘ Chawa ‘ hawatonigundua
Kuanzia sasa nikienda Kununua Maharage ya Kupima ‘ Wambea ‘ Mtaani hawatojua nimebeba nini
Kuanzia sasa nikiwa nimebeba Mtoto Kichanga naenda Kumtupa ‘ sitoshtukiwa ‘ na Mswahili yoyote
Kuanzia sasa Demu wangu akinituma Kumnunulia ‘ Pedi / Sodo ‘ Dukani wengi njiani hawatojua
Kuanzia sasa nikibeba Dagaa na Tembele zangu hakuna wa kujua na itabaki kuwa Siri yangu na Familia
Kuanzia sasa hata nikibeba Pistol ( Bastola ) yangu hakuna ‘ Mpuuzi ‘ yoyote atakayejua

Akhsanteni sana Mamlaka husika mliyoleta ‘ Mabadiliko ‘ haya makubwa na ya Kimaamuzi nchini Tanzania.

Nawasilisha.
 
Hata ukiwa na ukimwi ukaisha kikabaki kichwa hatutakuona kwenye rambo..
 
Dah mkuu wangu , kutupa mtoto tena dah usifanye hivyo !

Au iq yangu ndgo nmeshndwa kuelewa

Nimesikitika mno kama siyo sana kwamba hata ' Genius ' kama Wewe umeshindwa Kunielewa upesi kwanini nimeandika hivyo au ni Ujumbe gani najaribu Kuuwasilisha hapo. Katika Watu ambao nawajua ni ' very Intelligent ' hapa Jamvini na huwa mnakuwa wepesi Kuelewa ' Uwasilishaji ' wangu uliojaa ' Falsafa ' pamoja na ' Mafumbo ' mengi ni Wewe hivyo nimekushangaa kwa Wewe kushindwa kusafiri nami katika dhana hii ya ' Fikra ' pana ya Utoaji Ujumbe.
 
Nimesikitika sana

Siku zote huwa nasema na sitochoka kusema kuwa kumuelewa GENTAMYCINE na aina ya ' Uwasilishaji ' wake hapa Jamvini JamiiForums kunahitaji uwe na ' Akili ' kubwa na ' Mjanja ' ila ukiwa tu ni ' Popoma / Pumbavu Mwandamizi ' kamwe hutomuelewa na kila Siku utabaki tu kumuona Mkorofi au Mkurupukaji au hajui kile anachokifanya. Hata hivyo nashukuru sana kuwa wapo ' Great Thinkers ' wachache mno hapa ambao huwa wananielewa haraka.
 
Sasa nmekuelewa

Karibu anfield

Haina shida.

Ndiyo najiandaa sasa Kusogea Kibanda Umiza ili Kuishuhudia Timu yangu pendwa ya Liverpool ikitawazwa tena kwa mara ya Sita ( 6 ) kuwa Bingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya.
 
Akili zako unazijua mwenyewe..

Hongera / Heko kwa Kuandika Kiswahili vizuri na Kurekebisha Kiswahili baada ya lile neno lako la ' Akiri ' na sasa umeandika vyema ' Akili '. Taratibu tu nawe utakuwa kama ' Great Thinkers ' wengine hapa Jamvini jitahidi na usikate tamaa.
 
Hongera / Heko kwa Kuandika Kiswahili vizuri na Kurekebisha Kiswahili baada ya lile neno lako la ' Akiri ' na sasa umeandika vyema ' Akili '. Taratibu tu nawe utakuwa kama ' Great Thinkers ' wengine hapa Jamvini jitahidi na usikate tamaa.
umri umeshakutupa mkono bro, jitahidi kuwa na busara hadi kwenye nyuzi zako pia.
 
umri umeshakutupa mkono bro, jitahidi kuwa na busara hadi kwenye nyuzi zako pia.

Ila bahati nzuri pamoja na huo Umri wangu kunitupa mkono ila ' aliyekuzaa ' bado ananipenda na ananing'ang'ania sana tu sijui kwanini. Hebu nisaidie kuniulizia je hao wenye Umri mdogo hawaoni / hajawaona?
 
Ila bahati nzuri pamoja na huo Umri wangu kunitupa mkono ila ' aliyekuzaa ' bado ananipenda na ananing'ang'ania sana tu sijui kwanini. Hebu nisaidie kuniulizia je hao wenye Umri mdogo hawaoni / hajawaona?
mbona unajisemea..

#mie nimechoka kuwa kibeni10 cha alie kuzaa...
 
Ila bahati nzuri pamoja na huo Umri wangu kunitupa mkono ila ' aliyekuzaa ' bado ananipenda na ananing'ang'ania sana tu sijui kwanini. Hebu nisaidie kuniulizia je hao wenye Umri mdogo hawaoni / hajawaona?
[emoji38]
 
Back
Top Bottom