Hizi Ni Habari Mbaya kwa Hance Mtanashati

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Huenda rapa Young Dee amerudiana na mpenzi
wake wa zamani Tunda. Kwani wawili hao kwa
sasa wapo karibu zaidi kiasi cha kushauriana
baadhi ya mambo. Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii zilizagaa
taarifa ya kuwa wawili hao wamerudiana. Jumatatu hii kupitia istagram, Tunda ameandika: “Think Positive and Positive things will happen.
I am so proud of you, umeweza kubadilisha
maisha yako, umekuwa mfano mzuri wa
kuigwa! You’ve changed my life, i know bado
sijafikia 100% but i promise kufuatisha ushauri
wako and become a better me everyday. i Pray everyday Mungu azidi kukuongoza katika njia
salama… You’re so blessed!,”
 
Hii habari lazima hance huko aliko chozi limtoke
 
Vijana wa Instagram na Facebook naona mmevamia hadi huku.......shwaini
 
Wanaume wa dar tu ndio wanaweza kuielewa hii habari
 
Wasalimie huko ufungwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…