Hizi ni kazi ambazo zilikuwa zinaheshimika zamani lakini kwa sasa zinachukuliwa poa

Hizi ni kazi ambazo zilikuwa zinaheshimika zamani lakini kwa sasa zinachukuliwa poa

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kwangu mimi nimetupia jicho kwenye hizi mbili, nawe waweza kuongeza zingine...

1. Waandishi wa habari na watangazaji - Zamani hii kazi ilikuwa na heshima sana nadhani kwasababu wahusika wengi walikuwa na taaluma makhsusi na kupitia training, Kwa sasa kazi hii imevamiwa na vijana wengi ambao hata chuo hawajaenda, Vuta picha tu mtu kama baba levo nae ni mtangazaji !!

2. Walimu - Ni kundi ambalo mpaka sasa inakuwa ngumu sana kuona limeshuka tabaka, Zamani mwalimu alikuwa na heshima yake asiee, hasa huko vijijini huyu alikuwa ni mtu wa kukimbiliwa kuwa mtatuzi wa vingi lakini kwa sasa kazi hii imeshuka thamani hasa kwa hizi private schools zimeanzishwa mwalimu unakuta analipwa hata laki 2 kwake poa tu, walimu nao baadhi yao huhusika kwenye skendo chafu za kutembea na wanafunzi wao.
 
Waalimu ndo ilikua komesha walikua wanaheshimika sana ila kwa sasa naona mtendaji wa serikali za mtaa ana heshimika zaid ya mwalimu
 
kwangu mimi nimetupia jicho kwenye hizi mbili, nawe waweza kuongeza zingine...

1. Waandishi wa habari na watangazaji - Zamani hii kazi ilikuwa na heshima sana nadhani kwasababu wahusika wengi walikuwa na taaluma makhsusi na kupitia training, Kwa sasa kazi hii imevamiwa na vijana wengi ambao hata chuo hawajaenda, Vuta picha tu mtu kama baba levo nae ni mtangazaji !!

2. Walimu - Ni kundi ambalo mpaka sasa inakuwa ngumu sana kuona limeshuka tabaka, Zamani mwalimu alikuwa na heshima yake asiee, hasa huko vijijini huyu alikuwa ni mtu wa kukimbiliwa kuwa mtatuzi wa vingi lakini kwa sasa kazi hii imeshuka thamani hasa kwa hizi private schools zimeanzishwa mwalimu unakuta analipwa hata laki 2 kwake poa tu, walimu nao baadhi yao huhusika kwenye skendo chafu za kutembea na wanafunzi wao.
Mbona kama umeandika kinyumenyume?Hivi kuna binadamu mwenye akili atamchukia mwalimu au mwanahabari?Haupogo siriasi!
 
kwangu mimi nimetupia jicho kwenye hizi mbili, nawe waweza kuongeza zingine...

1. Waandishi wa habari na watangazaji - Zamani hii kazi ilikuwa na heshima sana nadhani kwasababu wahusika wengi walikuwa na taaluma makhsusi na kupitia training, Kwa sasa kazi hii imevamiwa na vijana wengi ambao hata chuo hawajaenda, Vuta picha tu mtu kama baba levo nae ni mtangazaji !!

2. Walimu - Ni kundi ambalo mpaka sasa inakuwa ngumu sana kuona limeshuka tabaka, Zamani mwalimu alikuwa na heshima yake asiee, hasa huko vijijini huyu alikuwa ni mtu wa kukimbiliwa kuwa mtatuzi wa vingi lakini kwa sasa kazi hii imeshuka thamani hasa kwa hizi private schools zimeanzishwa mwalimu unakuta analipwa hata laki 2 kwake poa tu, walimu nao baadhi yao huhusika kwenye skendo chafu za kutembea na wanafunzi wao.
Ongezea bank cleckers
Secretary nk
 
mi naona kazi zote zilizo rasmi kwasasa hazina mvuto/heshima kivile kwasasa.
Anzia u-Rais-watu wanaagizwa na hawatekelezi na hakuna cha ziada kinafanyika.
Wabunge holaa,hawaogopwi tena na wananchi/maaskari,
Majaji na mahakimu holaa,inasemekana serikali inawaamrisha!

Rudi kwa hawa ma-dc ma-ded hata hao wengine.

Lakini mimi naona hii inachangiwa na kiwango cha kuelimika kilichopo ktk jamii,kwa hawa F4 wameongeza mwamko wa kijitambua na wale wasomi wa vyuo vya kati na vikuu ni wengi hivyo huwezi kumbabaisha mtu kinyemela!

Lakini suala la UTANDAWAZI!
Hapa ni kwamba elimu ya maisha/kujitambua inasambaa kirahisi hivyo angalau mtu anakuwa na A,B,C(s) dhidi ya masuala mbalimbali yamzungukayo!

Basi tukubaliane kwa pamoja kwamba siyo heshima kushuka kwa watu tajwa,bali utambuzi umekuwa mkubwa hivyo watu wale hawanyenyekewi na kuogopwa kama ilivyokuwa mwanzo.(daa umeniandikisha Insha!!!)
 
1. Waalimu
2.Manesi
3.Polisi+watoto wao+wake zao (wazee wa kota)
 
3) Wakuu wa Wilaya/Mikoa
4)Madiwani/Wabunge
5)Mabalozi wa nyumba 10
 
Back
Top Bottom