Sasa umekichorachora kifua kimekukosea Nini? Muarusha mkubwa weee, ndio maana nakupenda hadi najiogopa, najiuliza hivi moyo wangu haujawa transferd kweli na aliens na kupandikizwa kwako?Nywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko.
Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilinyolewa hapa chiniView attachment 1692060
Hujalala hadi Sahiv unasubiri nini Boss? π€Sasa umekichorachora kifua kimekukosea Nini? Muarusha mkubwa weee, ndio maana nakupenda hadi najiogopa, najiuliza hivi moyo wangu haujawa transferd kweli na aliens na kupandikizwa kwako?
Nitakupa burudani kama zile za peponi ; ukienda msalani nikubebe mgoniHujalala hadi Sahiv unasubiri nini Boss? π€
Kwa hiyo mapenzi ya siku hizi ndio yepi? Pata penzi la kizamani a.k.a vintage love, ya kale dhahabuHaaaaa. Hiyo mapenzi ilikuykabla ya mkoloni hiyo mzee baba Sahiv nehi
Nitakupa burudani kama zile za peponi ; ukienda msalani nikubebe mgoni
Hata mimi namzungumzia huyo kwenye picha ya kwanza mkuu, nimejiridhisha una midomo niipendayoHiyo avatar sio mimi mkuu, picha yangu ni hiyo ya kwanza hapo juu nimeiziba uso haonekani
Pisi la kisabato hili πNywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko.
Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilivyoonyeshwa hapa chini. View attachment 1692060bushmamy