Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Rafiki nimekuzoom naomba nisamehe!😄😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri wako, ila hilo chanuo la umeme silijui naweza kuona picha yake?Nunua dryer ya mkono yenye kichanio unakuwa ukiosha unakausha na dryer bila kuchana Kama saluni zikishakauka ndo unachana na hiyo chanuo ya umeme kwa wiki mara moja unafanya hivyo Ili zisitepete na kuwa weak, alafu nunua electric hair brush hiyo ndo uwe unachania Kila siku kwenye upande wa upepo na siku nyingine unaichania ikiwa haina umeme.
Google utaliona maana huwa sijui kuweka picha. Yapo SHAmon.As
Asante kwa ushauri wako, ila hilo chanuo la umeme silijui naweza kuona picha yake?
BuSasa umekichorachora kifua kimekukosea Nini? Muarusha mkubwa weee, ndio maana nakupenda hadi najiogopa, najiuliza hivi moyo wangu haujawa transferd kweli na aliens na kupandikizwa kwako?
Bujibuji unakumbuka Kuna uzi wako humu unajitambulisha wewe ni demu?Nywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko.
Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilivyoonyeshwa hapa chini. View attachment 1692060bushmamy
So do I am a Catholic japo nilikuomba papuchi ukazinguaMie mkatoliki Boss
Bujibuji sio individual person, Ni taasisi
Nitakupa burudani kama zile za peponi ; ukienda msalani nikubebe mgoni
Bujiii Boooy ktk ubora wake😜😂😂😂😂😂😂😂😂mtongozo wa buji
Hayo mafuta unapaka kwenye ngozi au nywele? Yanapatikana wap Dia wangu na bei zake ni aje?Natumia mafuta ya gnice kwakweli nimepata matokeoa chanya so far..hata msusi Wangu anasifia Sana nywele yangu...
View attachment 1695265
Mie mkatoliki Boss
Wow! Ur so cute.. Tafadhali nipokee inbobo.. Nakuja fastaa!Nywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko.
Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilivyoonyeshwa hapa chini. View attachment 1692060bushmamy
Kwenye Ngozi na nywele...pia unatakiwa uwe na shampoo na steaming...Hayo mafuta unapaka kwenye ngozi au nywele? Yanapatikana wap Dia wangu na bei zake ni aje?