Naona umegeuka mganga wa kienyeji or some kind of a prophet...
Haijalishi unaniwazia nini kwenye ubongo wako wewe binafsi hakuathiri my Chagga status.
Ni vizuri mjadala ule wa Wachagga tungejibazana kule!
Ungenipinga hoja zangu kule,kuja kusemea huku kwenye uzi tofauti kabisa inaonesha your bitch moves!
Huu uzi tunajaribu kuona kweli Wakenya wanatupita?
Yes wanatupita,kwa kiasi gani?
Je njia za kujipanga tuwapite ni zipi?
Ni hizi,tuzifanye,tujipe 10yrs tuwe tushawapita!
Then anakuja some stupid motherfucker with weakling thinking amekaa kwenye keyboard yake huko nyumbani kwake kazingirwa na nzi anajiamulia kutoa uraia kwa some random internet characters kama Wyatt Mathewson eti sababu hoja zao zimepingana na zake on some issues!
Really?