Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Hizi ni opinions za watu about Kenya na Tanzania. Non natives. Ni opinions, so dont catch feels guys

Sina chuki na mtu maana hata mke wangu anatokea kwao, ni huwezi ongelea upuuzi nchi yangu alafu nikukalie kimya

Umeona sasa!

Nishajua tatizo lako linalokusumbua!

Nchi ni mipaka ya vipande vya ardhi walivyojikatia wanadamu kama wewe na mimi!

Usikae uue au ujenge chuki na mwanadamu mwenzio sababu eti kuna mwanasiasa kakwambia!

Wewe sio robot uwe programmed na mwanasiasa kadiri anavyotaka yeye!

Una utashi wa kujua baya na zuri,kwanini usitumie IQ yako kufanya judgements positive na sio kupigwa ufunguo na mipaka waliyokuwekea wanasiasa?

Kama kuna Mkenya au Mganda au yeyote yule katoa jambo la uongo kuhusu wewe kwanini usimsahihishe kwa kutoa hoja ya kweli na tawimu za kweli?

Yanini kutukana na kujenga chuki?

Kama wameongea ukweli kwanini usiseme ebwana hapo umesema kweli na tuta improve kwa kufanya hivi na vile?

Ni maajabu tu kukataa ukweli wa jirani yako anaokuambia eti kwa sababu tu humpendi yeye binafsi kwa jinsi alivyo!

Wewe kumchukia yeye as a person hakutoi ukweli wa anachozungumza kukuhusu wewe....unapokataa kata kata inaonesha you are not sincere na dishonest!

We have long way to go,na ni lazima to catch up with these guys,soon than later!

Thats the bottom line!

Ruka ruka,andamana,piga ua,cheka lia,kimbia kaa,etc.....ni lazima tuwapite,tena kwa haraka!
 
Umeona sasa!

Nishajua tatizo lako linalokusumbua!

Nchi ni mipaka ya vipande vya ardhi walivyojikatia wanadamu kama wewe na mimi!

Usikae uue au ujenge chuki na mwanadamu mwenzio sababu eti kuna mwanasiasa kakwambia!

Wewe sio robot uwe programmed na mwanasiasa kadiri anavyotaka yeye!

Una utashi wa kujua baya na zuri,kwanini usitumie IQ yako kufanya judgements positive na sio kupigwa ufunguo na mipaka waliyokuwekea wanasiasa?

Kama kuna Mkenya au Mganda au yeyote yule katoa jambo la uongo kuhusu wewe kwanini usimsahihishe kwa kutoa hoja ya kweli na tawimu za kweli?

Yanini kutukana na kujenga chuki?

Kama wameongea ukweli kwanini usiseme ebwana hapo umesema kweli na tuta improve kwa kufanya hivi na vile?

Ni maajabu tu kukataa ukweli wa jirani yako anaokuambia eti kwa sababu tu humpendi yeye binafsi kwa jinsi alivyo!

Wewe kumchukia yeye as a person hakutoi ukweli wa anachozungumza kukuhusu wewe....unapokataa kata kata inaonesha you are not sincere na dishonest!

We have long way to go,na ni lazima to catch up with these guys,soon than later!

Thats the bottom line!

Ruka ruka,andamana,piga ua,cheka lia,kimbia kaa,etc.....ni lazima tuwapite,tena kwa haraka!
Nilishakuambia sina chuki na mtu ina naona imekazania neno chuki
 
Threads humu siku hizi naona comparisons kati ya KVSTZ.......na nani huwa anazianzisha anafahamika....kwann...inafahamika...Bhasi majibu tunayo.
 
Nilishakuambia sina chuki na mtu ina naona imekazania neno chuki
Una chuki bwana....

Wapinge hoja zao basi kwa hoja sahihi na takwimu sahihi kama yule jamaa wa ile hoja ya Google Search?

That guy did an incredible job to silence Kenyans hoja!

Just one comment full of facts and everybody agreed!

Hakua na michuki kama wewe!

We should learn something here!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wanapenda comparison kinoma, kuna mkenya mmoja kwenye jukwaa la Uganda kaanzisha eti Kampala vs Dar
Threads humu siku hizi naona comparisons kati ya KVSTZ.......na nani huwa anazianzisha anafahamika....kwann...inafahamika...Bhasi majibu tunayo.
 
Una chuki bwana....

Wapinge hoja zao basi kwa hoja sahihi na takwimu sahihi kama yule jamaa wa ile hoja ya Google Search?

That guy did an incredible job to silence Kenyans hoja!

Just one comment full of facts and everybody agreed!

Hakua na michuki kama wewe!

We should learn something here!
Nilisha kuambia sina chuki na mkenya mm, mbona unalazimisha asee
 
Threads humu siku hizi naona comparisons kati ya KVSTZ.......na nani huwa anazianzisha anafahamika....kwann...inafahamika...Bhasi majibu tunayo.
Kuna viwatu vinawashwa kila siku ni battle.mimi napenda kuwaita mashoga Africa bara jeusi wenyew tunalumbana akili zetu nahisi hazipo kichwani.Alie turoga uchawi wake una nguvu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wana uchokozi alafu ukiwajibu waanza sijui waTz wana wivu sijui wana chuki, binafsi nilitegemea Ugandans ndo waje kufungua ule uzi
Waache tu ngoja alshabab waendelee kufanya yao ndo akili zitawajia
 
oe jamaaa nmependa sana hii mada yenu...kwel sometimes tunatakiwa pia tukielekezana panapotakiwa...si kila siku tunabishana tu na kuwekeana chuki...jf sasa inatakiwa iwe wala sio kushabikia nchi zetu kila kuchao na bado tuna mapungufu pande zote mbili
 
Back
Top Bottom