Utoporo buana sasa nyie wenye wasemaji wenye weeledi wa hali ya juu mmefanya kipi chamaana ndani ya nchi hii?
Watz ni watu wajinga na wenye wivu,na hizi coment zinazo tolewa dhadi ya Manara zina dhibitisha hilo.
Na propaganda dhidi ya manara zimekuwa ziki enezwa na mashabiki wa Utoporo,manyani,mavyura FC, uta dhani litimu lao lilisha fanya jambo lolote la maana zaidi ya kuendekeza uswahili huohuo wanao msemea manara.
Huo uswahili mnao usema ndio umemfanya manara kupata dili za matangazo ambazo zinamuingizia kipato. Utoporo acheni wivu wa kike na Manara bado yupo sana ahendi popote na ataendelea kuwapa sindano mpaka mkome nyie honga honga fc.